Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
- Thread starter
- #41
Sindano za quinineMi nimetumia mseto siku kadhaa zimegonga mwamba hamna kilichopona now nimeanza sindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sindano za quinineMi nimetumia mseto siku kadhaa zimegonga mwamba hamna kilichopona now nimeanza sindano
Artemether,niliwahi kuitumia ni nzuri sana,ila namshukuru Mungu mwaka wa 7 sasa sijaugua malaria...Artemether and lumefantrine may cause side effects.
- headache.
- dizziness.
- weakness.
- muscle or joint pain.
- tiredness.
- difficulty falling asleep or staying asleep.
- vomiting.
- loss of appetite.
Huwezi jua, labda ni mama Samia yeye.Pumbavu kujisikia kwako vibaya ndio dawa nzuri Kwa malaria kama mseto ipigwe marufuku kisa mjinga mmoja kujisikia vibaya
Si ndio maana wakajiita wabongo au mbongo sababu ya elimu ya ujuaji mwingi.Wabongo bana, kila kitu wana ujuzi nacho! Sijui na qualification gani huyu ntu hadi anaagiza dawa iachwe kwa matumizi ya umma kwa kuwa kajisikia tu yeye😛😛
Malaria naijua sana, hata hiyo quinine unayosema ilisha ondolewa kwenye utaratibu wa kutibu malaria kali, badala yake kuna artesunate for injection. Mseto wa Alu ni dawa nzuri sana kwa malaria isiyo kaliUnaijua malaria au unaisikia kuna mtu wangu wa karibu alienda kupima malaria akakutwa alijikuta ana-tundukiwa trip tisa za quinine we huijui malaria vizuri
Mi mseto namezeaga na maziwa,zinafanya kazi kwa ufanisi sana,na hazichoshiMiaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
Hiyo may cause unaielewa vizuri?Artemether and lumefantrine may cause side effects.
- headache.
- dizziness.
- weakness.
- muscle or joint pain.
- tiredness.
- difficulty falling asleep or staying asleep.
- vomiting.
- loss of appetite.
Ni sh ngapi?uliibiwa
Inaitwaje?Kuna dawa ya Malaria sh 40,000 ni kidonge kimoja tu. Ungenunua hiyo.
Umeandika ujinga kabisa mimi nikiumwa Malaria Mseto ndo kimbilio langu.Miaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
ChrolMiaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
Chroloquine haijapigwa marufuku bali vimelea vya malaria viliizoea ile dawa, ipo inatibu magonjwa mengineMiaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
chroloquine haijapigwa marufuku, Vimelea viliizoea, Dawa bado iko sokoni.Dawa zenye severe side effects zinapigwa marufuku ni kawaida kwenye medicine kama chloroquine ambavyo haitumiki tena ile iliwafanya watu wengine wawe viziwi wa maisha
Ni sawa lakini huwa hawaisimamishi dawa kutumika kwa kumsikiliza mtu mmoja.Chloroquine na amadiaquine hazitumiki tena sababu zilikua severe side effects
Kuna-kitu kinaitwa Pharmacovigilance dawa inafuatiliwa ili kugundua side effects ambazo Hazikuwa noticed during clinical trials
Mkuu nakumbuka mnamo mwaka 2003, niliumwa Malaria Amodiaquine, aisee ile dawa ilinipeleka mpaka nikawekewa dripu, niliacha mpaka wosia.Miaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
Mimi ninaweek ya tatu toka nmetumia mseto sijawai kula vzuriMiaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
Ndugu matusi yanini?tujifunze kuwa na ustaarabu wandugu.Pumbavu kujisikia kwako vibaya ndio dawa nzuri Kwa malaria kama mseto ipigwe marufuku kisa mjinga mmoja kujisikia vibaya