The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Katika dawa watu wanazichukulia poa ni mseto ila kwangu mimi ndiyo dawa bora sana kwa kutibu malariaPumbavu kujisikia kwako vibaya ndio dawa nzuri Kwa malaria kama mseto ipigwe marufuku kisa mjinga mmoja kujisikia vibaya
Hawaichukulii poa bali inaumiza sana yaani side effects zake ni kali sanaKatika dawa watu wanazichukulia poa ni mseto ila kwangu mimi ndiyo dawa bora sana kwa kutibu malaria
Wewe hata hauumwi malaria, umekunywa hiyo Mseto kimakosa tu, umedanganywa kwa kufanya BS kwa hivyo vi maabara uchwara vya mtaani kwako ukaambiwa una malaria, na jinsi ambavyo ulikuwa na hamu na hayo majibu. Ndugu nenda kafanye mRDT, na vipimo vingine kama urinalysis, H.pylori test, ili upate bainisho la tatizo lakoMiaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia
Week hii mwanzoni nimeumwa malaria nikasema acha ntumie mseto aisee mpaka sahivi najuta kwanini nilikubali mseto ni masaa 24 tokea nimalize mpaka sahivi
Hapana aisee hii dawa ipigwe marafuku kama ilivyokua kwa chloroquine na amodaquine ambazo hazitumiki tena
- Mwili umechoka
- Sina hamu ya kula yaani kula ni kwa mbinde
- Mdomo mchungu kupita maelezo
- Nikihema natoa harufu ya dawa za mseto
Ni bora ningekunywa quinine sio kwa mateso haya
Kwenye medicine kuna kitu kinaitwa pharmacovigiliance dawa ikishakuwa approval inafuatiliwa kama kuna severe side effects ambazo hazikuwa notice kipindi cha clinical trials ndo maana leo hii chloroquine au amodaquine hazitumiki tena
Hiyo ni dawa Bora kabisa Kwa malaria watu wanaogopa kwakua inavidonge vingi sana lakini ukimaliza na malaria kwishaKatika dawa watu wanazichukulia poa ni mseto ila kwangu mimi ndiyo dawa bora sana kwa kutibu malaria
Unaijua malaria au unaisikia kuna mtu wangu wa karibu alienda kupima malaria akakutwa alijikuta ana-tundukiwa trip tisa za quinine we huijui malaria vizuriWewe hata hauumwi malaria, umekunywa hiyo Mseto kimakosa tu, umedanganywa kwa kufanya BS kwa hivyo vi maabara uchwara vya mtaani kwako ukaambiwa una malaria, na jinsi ambavyo ulikuwa na hamu na hayo majibu. Ndugu nenda kafanye mRDT, na vipimo vingine kama urinalysis, H.pylori test, ili upate bainisho la tatizo lako
Mpaka masikio husikii ile dawa ilikua yakiuaji ndo maana haikudumu sana sokoniHiyo amodiaquine watoto wa 2000 hawaijui hii. sijaisikia muda mrefu km bado ipo kwenye mzunguko. dawa ya kitemi sana hiyo. ukinywa tu na yenyewe inakuongezea ugonjwa, usipokaa sawa unanyooka iviivi mchana kweupe.
Naongelea side effects zake ni severeWewe utakuwa una matatizo mengine lakini mseto ndio the best dawa na prophylaxis ya malaria
Zipi wewe ndio mtumiaji pekee sisi sio watumiaji?Naongelea side effects zake ni severe
Hapana malaria ikipata kichwani mfano ukiwa kitandani unahisi kama kitanda kimegeuka juu unakua unajishika ili usiangukeisije ikawa malaria imekupanda kichwani ndo maana umeandika hiki ulichokiandika.....maana sio akili ya kawaida yaani dawa ipigwe marufuku kwa sababu yako wewe tu.
uliibiwaKuna dawa ya Malaria sh 40,000 ni kidonge kimoja tu. Ungenunua hiyo.
Manufacture mwenyewe wa dawa kaziorothesha side effects sasa kama unabisha na mtengenezaji wa dawa basi iko ni kipaji cha ubishiZipi wewe ndio mtumiaji pekee sisi sio watumiaji?
Artemether and lumefantrine may cause side effects.Zipi wewe ndio mtumiaji pekee sisi sio watumiaji?