Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!


Big up mkuu
 
Jamani mimi ni mkulima mzuri wa chainizi na huwa napenda kuzila sana kwani chakula kikiandaliwa bila chainizi pembeni huwa sifurahii mlo huo.lakini nimesikia kuwa mboga hii inapunguza nguvu za kiume ni kweli?
 
sina uhakika ila nami niliambiwa niache tabia ya kula chainizi maana husababisha ukosefu wa nguvu.
 
aaghrr!!.. Nmekula chainizi tangu nikiwa na miaka 15 mpaka leo hii ndio chakula changu, bunduki yangu haijawahi kumissfire ktk uwanja wa medan za kivita. Tena mda huu najiandaa kula chainiz
 
aaghrr!!.. Nmekula chainizi tangu nikiwa na miaka 15 mpaka leo hii ndio chakula changu, bunduki yangu haijawahi kumissfire ktk uwanja wa medan za kivita. Tena mda huu najiandaa kula chainiz

Ndio maana una pua pafomansi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…