Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Mimi nadhani huyu bwana kaongea kama mfano wa kuelekeza dalili za matitizo ya nguvu za kiume.Point ya jamaa haikuwa ubishi wa kisayansi kama unavyotaka wewe.Hata hivyo tanzania bado hamna wana sayansi bali ni wanasayansi wakukariri,mmeshavumbua nini? bora jamaa kavumbua dawa ya vyakula.
Big up mkuu