Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Dawa ya nguvu za kiume hadharani bila malipo!

Sometimes tunazidisha machezo jamani.

Japokuwa mleta mada amechemka kwenye huo urefu wa mita 3, lakini sijaona sababu ya wewe kuanza kumponda kuwa alikimbia masomo ya sayansi.

Lakini pia ni shule gani hiyo ambayo ulitajiwa aina za projectile zote na distances zinazocover Pindi zikirushwa?

Tusitumie topics za pcm na pcb form 6 kukatisha tamaa wenzetu wanaoleta suluhu za matatizo yanayoisumbua jamii yetu.

mkuu mwenyewe nilisoma PCM wala huo mkojo hakuna kitabu kimesema kuwa ni mfano wa projectile! achana na hiyo advanced physics ya A-level, kuna fundamental physics for engineers, basic physics for engineers na engineering physics watu wamesoma sasa hicho kisub-topic kikufanye uje kujipambanua hapa unaijua science!
Hapa ndio ukifika unaona kuna haja ya mfumo wa elimu kubadilika mkojo kufananishwa na projectile ni uwezo mdogo kufikilia!!!! Afrika hatutakaa tuendeleeeeee kama wana science ndio hawa!!!!!!!!!!!!!!
 
Vyoo vyetu vingine ni mita moja sasa hzo 3 m tutaenda fanyia majaribio wapi?
 
Nimejaribu kutumia hicho kipimo cha kurusha mkojo nimeishia tu kujamba kwa nguvu. Naomba na Gogle kama unanipata hapo ulipo ulete mrejesho kwa sababu wewe umetahiri juzijuzi inawezekena pipe yako inarusha sana.

Umenichekesha sana aisee....
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye kitunguuu maji na asali , naweza klukubaliana na wewe lakini kwa siagi ,naanza pata mashaka waweza rudisha tatizo.
 
Wengine mnatuchekesha hadi tunaleta mtafaruka kwenye familia..tunaulizwa tunacheka nini?
 
mkuu mwenyewe nilisoma PCM wala huo mkojo hakuna kitabu kimesema kuwa ni mfano wa projectile! achana na hiyo advanced physics ya A-level, kuna fundamental physics for engineers, basic physics for engineers na engineering physics watu wamesoma sasa hicho kisub-topic kikufanye uje kujipambanua hapa unaijua science!
Hapa ndio ukifika unaona kuna haja ya mfumo wa elimu kubadilika mkojo kufananishwa na projectile ni uwezo mdogo kufikilia!!!! Afrika hatutakaa tuendeleeeeee kama wana science ndio hawa!!!!!!!!!!!!!!

Mimi nadhani huyu bwana kaongea kama mfano wa kuelekeza dalili za matitizo ya nguvu za kiume.Point ya jamaa haikuwa ubishi wa kisayansi kama unavyotaka wewe.Hata hivyo tanzania bado hamna wana sayansi bali ni wanasayansi wakukariri,mmeshavumbua nini? bora jamaa kavumbua dawa ya vyakula.
 
[h=2]usihuzunike,usifadhaike,usikate tamaa,usijione mnyonge jaribu tena lipo sululisho-agr+ plus[/h]
.YAWEZEKANA WEWE NI MHANGA WA SHIDA YA NGUVU ZA KIUME......

.SAMAHANI KAMA LUGHA ITAKUWA WAZI SANA,NIA NI KUELEMISHANA.....

>>yawezekana damu haipiti sawasawa katika mfumo wa kiume na kusababisha uume kukosa nguvu ya kusimama

attachment.php

>>yawezekena pia stamina ndo shida yani uume hausimami sawasawa,yaani stamina

>>kama ulivyoona hapo juu,au hamu ya kufanya mapenzi,au uwezo wa kufanya mapenzi umepungua,
>>mwengine anaenda mzunguko mmoja tu hawezi tena,
>>mwingine hata kuanza anashindwa kabisa
>>mwingine anaenda kwa kupigwa stata,lazima mwanamke amsaidie kila saa,manake there's no automation
>>vyovyote iwavyo usihuzunike wala usifadhaike. mwingine mpaka anafikia hata hatua ya kuchukia wanawake
>>nachopenda kukuambia ni hali ya kawaida kabisa kama tuu ulizaliwa sawasawa then kwa baati mbaya haya matatizo yakakukuta. wengi yamewakuta ivyo huna haja ya kuuzunika
>>inasemekana kati ya kila wanaume 10,basi wa tatu wana hii shida

>>VITU HIZI VINATOKENA NA VITU VINGI, INAWEZEKANA NI SUMU ZILIZOJAA MWILINI,AU CHAKULA VYA MAFUTA TUNAVYOKULA OVYO.
>>UTUMIAJI WA SIGARA AU POMBE KWA WINGI,WENGINE WANATUMIA VILEO VIKALI ALAFU HAWALI
>>PIA IMEDHIBITIKA KWAMBA VITAMBI VILIVYOKIDHIRI VINAZUIA UWEZO WA UUME KUFANYA KAZI VIZURI
>>IWE CHANZO CHOCHOTE KILE LAKINI,PAMOJA NA DIABET,LAKINI ISIWE SHIDA YA KUZALIWA NAYO ARGI+ITAKUSAIDIA KWA NJIA 2



..kwanza inarekebisha mfumo wa ufahamu unaoendana na uume,au performance kwa kuruhusu damu ipite sawasawa katika ubongo,hadi mfumo wa upitaji damu katika uume,itaondoa sumu na mafuta(chloresto)katika damu yanayozuia damu kupita sawasawa na kusabisha kushindwa kuperfome kwa njia yoyote.
..njia ingine argi+ itakusaidia ni stamina katika kuperfom.

>>pia ina vitamini
Vitamin C

Vitamin D3

Vitamin K2

Vitamin B6

Vitamin B12

L-Argine- ni matunda ambayo yamewekwa katika argi+ ambayo yanasaidia kabisa ilo tatizo la nguvu za kiume.

other attribute: ya ARGI +


kwa maelezo au maswali kuusu argi+

wats app 0765377506/sms call
sms/call 0713297066

 
Arg+. Sms.whats app 0765377506.0713297066
 

Attachments

  • 1407017384428.jpg
    1407017384428.jpg
    8.3 KB · Views: 1,731
Back
Top Bottom