Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Wewe inaonekana elimu yako Ni ya makaratasi wenzako wanakwenda deep
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe inaonekana elimu yako Ni ya makaratasi wenzako wanakwenda deep
Dah! Mbona bei kubwa namna hiyo.Na hiyo ndiyo ufumbuzi wa huu ugonjwa japo mm nasema dawa ziachwe kutolewa bure ziuzwe sh40000 kwa dozi ya mwezi mmoja
Global population control behind the scenes!HIV ni project ya watu.
naunga mkono hojaHabarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Sasa uo upuuzi ndio kwenda deep?Wewe inaonekana elimu yako Ni ya makaratasi wenzako wanakwenda deep
Tunakaribia kumaliza Three Nineties Percent by 2030 ... Kwahiyo vuta subira by the end of 2050 tutakuwa 100% ni suala la muda tu....Habarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
ARV zinatibu na magonjwa mengine makubwa makubwa, kaa kitako kwa kutulia hujui lolote.Habarini za usiku wapendwa
Kama jinsi kichwa cha habari kinavyo jieleza binafsi naona njia pekee ya kuondoa ukimwi duniani ni kuondolewa kwa dawa za kufubaza virusi au kwa jina jingine ARV kwasababu watu wanatumia hizo dawa wanakua na mionekano mizuri kisha wanaendelea kusambaza kwa wengine sasa.
Kwa mwendo huo virusi havitaisha hapa ni hizo dawa ziondolewe tu au kama kweli wanaozitengeneza wana nia njema basi watengeneze chanjo au dawa ya kutibu kabisa
Naomba kuwasilisha.
Kumbuka ukimwi haumbukizwi kwa ngono pekee,sasa endelea kucheka!Naona mods wamefuta comments zangu. [emoji1787][emoji1787]
Ukweli mchungu ndugu zanguni.
ARV NI SUMU. USIMEZE HUO UCHAFU.
How is it treated mkuu?Usiwe pimbi wewe. Toka lini huo mnaoita ukimwi ukamwondoa mtu katika umri mdogo kisa kakwepa kumeza dawa!!! Huyo alikuwa anaumwa ugonjwa unaoeleweka kabisa ila kwa umbulula wenu mkasingizia ni HIV wakatati ukimwi wenyewe unatibika vizuri tu
Umenena mkuu, nilipata ajali niligongwa na gari nimevunjika mguu, nililazwa tumbi hospital,nilichokiona mle hospital nilimshukuru MUNGU kwa uhai,watu wapo mle wanateseka!Aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Brother ukiamka salama na kulala salama shukuru Mungu, ila uwe unatenga siku kwenda kutembelea wagonjwa hospitali wasiojiweza, kuna kitu utajifunza