Ana 4 yrs, hedhi yake inaweza kwa miezi mitatu ikaanza after every 28 days, na miezi mingine inachelewa mpaka 36 au 57 daysMtoto wenu wapili Kwa Sasa ana umri gani?
Baada ya kujifungua alitumia njia yoyote ya uzazi mpango?. Hedhi zake ziko sawa au zinabadilika badilika ovyo?.
Mwamba anataka Goli zote ziwe heavy duty..embu nielimishwe hapo bao la pili nalo linakuwaga jingi?
Kwa uelewa wangu bao lq kwqnza linakuwa jingi ila yanayo fwata yanakuwa madogo madogo naona sio shida au ni tatizo?
Ana shida sehemu bas jamaaMwamba anataka Goli zote ziwe heavy duty..
Haa haa haaKwa hiyo kumpa mimba mwanamke inahitajika kidumu cha lita 5 za sperm au sio?
Andika email nikutumie picha ununueHuu ni mwaka pili sasa tunahangaika na wife kuongeza mtoto wa tatu na wa mwisho, nimeobserve wife hapati ule ute wa mimba, ana 33 years, na mimi tukipiga show round ya kwanza namwaga sperms nyingi ila round 2 na 3 namwaga kidogo sana
Mimi nina 37 yrs, sasa naomba madaktari mnisaidie kupata dawa za hospital za kumpevusha mayai wife, na mimi nipate dawa ya kuongeza mbegu,
Ni dawa gani na zinauzwa bei gani? dawa za mitishamba sitaki kutumia
Mtaalam wingi wa bao sio wingi wa mbeguembu nielimishwe hapo bao la pili nalo linakuwaga jingi?
Kwa uelewa wangu bao lq kwqnza linakuwa jingi ila yanayo fwata yanakuwa madogo madogo naona sio shida au ni tatizo?
Oh kumbe hapo ime kaajeMtaalam wingi wa bao sio wingi wa mbegu
btw bao lina mschanganyo wa Semen na sperm
A
Andika email nikutumie picha unun
Kafanye Pelvic USS, unipe majibu yake Kisha nitakuandikia dawa, atabeba mimba.Ana 4 yrs, hedhi yake inaweza kwa miezi mitatu ikaanza after every 28 days, na miezi mingine inachelewa mpaka 36 au 57 days
Daaah mkuu mda huu nipo na dorry hapa.ofisini ujue ahahaha wee jamaaa kweli una kitu..Poleni sana..... Fikeni hospital muwaone madaktari wa uzazi!
Hata mitishamba mizuri tuu
Ikawe khery kwenu
Poor Brain mjomba wake mwalimu na dory
BRAZA CHOGO
SECRETARY BIRD
Semen ndo yale maji kama Media ya vidudu kusafiriOh kumbe hapo ime kaaje
Yaani 37 yrs unaoa mzee wa miaka 33?,wanawake wameisha kwneye hii Dunia?,upishane na mwanamke miaka 4 ,uje kusumbua watu hapa?,kilindi wewe ni kijana wa miama 47,huyo kikongwe atakua na 43?,menopause,una akili kwelie wewe!Huu ni mwaka pili sasa tunahangaika na wife kuongeza mtoto wa tatu na wa mwisho, nimeobserve wife hapati ule ute wa mimba, ana 33 years, na mimi tukipiga show round ya kwanza namwaga sperms nyingi ila round 2 na 3 namwaga kidogo sana
Mimi nina 37 yrs, sasa naomba madaktari mnisaidie kupata dawa za hospital za kumpevusha mayai wife, na mimi nipate dawa ya kuongeza mbegu,
Ni dawa gani na zinauzwa bei gani? dawa za mitishamba sitaki kutumia
ifanyi kazi kama upo WhatsApp tutumie hiyoDaaah mkuu mda huu nipo na dorry hapa.ofisini ujue ahahaha wee jamaaa kweli una kitu..
Ngoja nikutafute pm maana maajabu haya umemtaja mtu na nipo nae haap
NimekupataSemen ndo yale maji kama Media ya vidudu kusafiri
Unaweza ukatoa maji machache ila vidudu vya kushato na unaweza ukatoa maji (Semen ) nyingi alafu vidudu vchache tunaita Oligospermia
Mtafute prof Janabi.Huu ni mwaka pili sasa tunahangaika na wife kuongeza mtoto wa tatu na wa mwisho, nimeobserve wife hapati ule ute wa mimba, ana 33 years, na mimi tukipiga show round ya kwanza namwaga sperms nyingi ila round 2 na 3 namwaga kidogo sana
Mimi nina 37 yrs, sasa naomba madaktari mnisaidie kupata dawa za hospital za kumpevusha mayai wife, na mimi nipate dawa ya kuongeza mbegu,
Ni dawa gani na zinauzwa bei gani? dawa za mitishamba sitaki kutumia