Dawa za hospital za kuongeza shahawa na kupevusha mayai

Dawa za hospital za kuongeza shahawa na kupevusha mayai

Huu ni mwaka pili sasa tunahangaika na wife kuongeza mtoto wa tatu na wa mwisho, nimeobserve wife hapati ule ute wa mimba, ana 33 years, na mimi tukipiga show round ya kwanza namwaga sperms nyingi ila round 2 na 3 namwaga kidogo sana

Mimi nina 37 yrs, sasa naomba madaktari mnisaidie kupata dawa za hospital za kumpevusha mayai wife, na mimi nipate dawa ya kuongeza mbegu,

Ni dawa gani na zinauzwa bei gani? dawa za mitishamba sitaki kutumia
Ipo moja nzuri anapika chai tu anakunywa ata conceive within a month
 
Acha usenge.

Kwan Hujui bao la kwanza shahawa zinakua nyingi, la pili n.k Zinaendelea kupungua, shahawa unazomwaga wewe maana yake ndio zilizopo Stoo, Cha msingi kula karanga mbichi, nazi, parachichi .


Kuhusu Ukavu wa K ya Mkeo.

Mnunulia OESTROGEN CREAM apakae ukeni mara moja Kwa siku Kila siku usiku Kwa mwezi Mmoja.


Na kama anapata shida ya kubeba Mimba, sema pia nikuandikie dawa atumie abebe mimba
Si ANYWE SUPU KARAFUU TU SIKU 3 KABLA YA HEDHI NA SIKU 7 BAADA YA HEDHI ATA BEBA UJAUZITO LABDA AWE KAROGWA
 
Uko wapi uje nikuelekeze uende hospital ufanye vipimo halafu uanze kutumia dawa
 
NAONA wote mnajibu ma single dady n mom
Shaah
Napitatu
 
Yaani 37 yrs unaoa mzee wa miaka 33?,wanawake wameisha kwneye hii Dunia?,upishane na mwanamke miaka 4 ,uje kusumbua watu hapa?,kilindi wewe ni kijana wa miama 47,huyo kikongwe atakua na 43?,menopause,una akili kwelie wewe!
Yamekuwa hayo tena,kwani nini tatizo hapo,,uzao si upo hapo mwanzoni??wakizeeka wote nini tabu weye.
 
embu nielimishwe hapo bao la pili nalo linakuwaga jingi?

Kwa uelewa wangu bao lq kwqnza linakuwa jingi ila yanayo fwata yanakuwa madogo madogo naona sio shida au ni tatizo?
Kuna comment naitafuta hapa hajiandikwa kwa akili za watt 2000
 
Kwa mwanaume naweza kuchangia, kula kwa wingi mhogo mbichi, karanga mbichi, shahawa zitaongezeka.
 
Back
Top Bottom