Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Kuwaamini Wangoni ,, ktk mambo serious kama haya ni vigumu,,

Siku zote Wangoni hawaaminiki ktk jamii,, hata nyimbo zao zimejaa utata mtupu,,

1: Utakuta wanaimba ninapopenda mm ni hapo tu,, ukiuliza ni wapi hawasemi hadi wimbo utaisha bila kuonyeshwa,,

2: Mngoni hata akisomeshwa vipi na wazazi wake ktk shule za Gharama,, hawezi kuwashukuru wazazi wake kwa kumpa elimu bora,, ila Akiozeshwa mke hapo huwa wepesi wa kutoa shukurani kwa wazazi wao,,

Sasa Wanajamvi habar hizi za watu wa kule Rizabon yatupasa kuzichuja ,,

Muhimu ni kuwarudisha kwao tu ,, kama Msumbiji walivyorudisha Watz kwao.
Lizabon na wenzake naye wajiandae kurudi kwao tu.
Mbona kama umechochora mkuu, upo kwenye mada kweli.?
 
3fbb0a13e0274e5ce28ea7ba0bc85c03.jpg
 
Ivi na wale wengine waliobaki nao wanatafutwa kama alivotafutwa mbowe?
 
huyu jamaa ashaangamiza vijana wengi kwa faida yake blna bora afungwe moja kwa moja
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.

By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
mna kazi sana.poleni maana hutapata posho leo
 
Mbowe afika kituo cha polisi hii leo kwa hiari yake

hii ni kwa mujibu wa habar ya saa hii kwenye East africa redio kipindi cha drive (4.46)
hao ni wachagga wenzie unategemea nini? Mbowe alijificha na kukamatwa...
 
Pole sana
Kwani ulitaka Mbowe aachwe kisa Msumbiji kuna wanao bakwa!!?
Unajua matatizo anayo yaleta Mbowe kwa watanzania!!?
Madawa nihatari sana

yamsumbiji hayatubusu kwenye mada hii
unajipa uhakika kuwa anahusika, haya wacha tuone, walioleta matatizo unawajua mbona huwasemi, mpaka ndugu zetu wamenyongwa huko bara asia, mbona wanapeta mtaani, hapa siasa zaidi ili kwenye kampeni iwe ni kibwagizo kuwa chama gani mwenyekiti wenu anabwia udaga, je mkimpa nchi si wote watakula udaga, mark my word, hii lazima 2020 tukiwa hai ndo itakuwa kibwagizo kwa kila mgombea wa kijani
 
hili bandiko lilikuwa breaking news likaja news alert now lipo kawaida litakuwa la kizushi hahaha
 
Nashangaa kiongozi mkubwa kama Mbowe kuogopa Polisi, wanamshinda ujasiri hata akina Wema na Tid.
Kwa ufahamu wako Wema na TID unafikiri walikuwa wanatafutwa kweli? Hiyo ilikuwa ni gia ya kuwaingilia watu, sasa wameshalianzisha na kina wema na TID kwasasa wapo uraiani ila waliokuwa wanatafutwa tunawaona kila siku Mara hospital au mahakamani.


Ila nawaambieni hii sumu inayomwagwa hapa Tanzania siku sio nyingi itaonyesha kile wanachokitaka kitokee.

Tanzania sio mbingu wala peponi ila ni nchi kama zilivyo Congo na Burundi.
Tujiulize kwanini mpaka Leo tuna amani na kwanini wale kila siku wanapigana.


Viongozi waombe Hekima na Busara katika kulitumikia Taifa letu.
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema na UKAWA kwa ujumla,
Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.

By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Mkuu Mbimbinho, asante sana kwa taarifa hii, kwa vile ile taarifa ya uongo ilikuwa very detailed, tulitegemea taarifa ya kanusho pia iwe detailed, alipoamua kujisalimisha, alitokea wapi, na hapo central ameandamana na mwanasheria/wanasheria kina nani na maofisa waliomsindikiza ni kina nani? .

Kwa vile Chadema inaye Ofisa Habari, Mhe. Mbowe ni M/Kiti wa Taifa, kwa nini taarifa ya Mwenyekiti kujisalimisha polisi zitolewe na Katibu wa Mkoa?, badala ya Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Habari, Ofisa Habari?!.

Hii haijatulia, tusubiri taarifa ya polisi.

Paskali
 
Nawaona CHADEMA walivyopanic. Wanakimbilia kueneza propaganda kuwa eti Mbowe kajipeleka mwenyewe. Haya tuambieni wanasheria alioambatana nao huko Central. Mbowe kakamatwa akiwa na Dereva wake tu. hakuna mtu mwingine zaidi yao
Jamaa wamevuruga ni hamna kila kiongozi anatoa tamko lake, sijui wakikubali kuwa amekamatwa watapungukiwa nini.!
457e2c98088ee3e32cbd97e9fe4c2314.jpg
 
Swali lako linalenga nini Kamanda? Unataka niiache CCM kama walivyoiacha Kingunge na Lowasa? Thubutu! Nimeshatoa masharti kwamba taarifa hii ikithibitika ni uongo nahamia rasmi UKAWA
Mbona media zinasema kaenda mwenyewe?
 
hili bandiko lilikuwa breaking news likaja news alert now lipo kawaida litakuwa la kizushi hahaha
Hahahahahaaaaaaaa! Kuna muda maalum wa tangazo kuwa Breaking News. Ikipita saa moja si Breaking News tena.
 
Back
Top Bottom