Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Alikataa hatokwenda polisi, Ishu hapa ni amekamatwa OVER!!! , Hapana Chezea serikali.
 
Kuwaamini Wangoni ,, ktk mambo serious kama haya ni vigumu,,

Siku zote Wangoni hawaaminiki ktk jamii,, hata nyimbo zao zimejaa utata mtupu,,

1: Utakuta wanaimba ninapopenda mm ni hapo tu,, ukiuliza ni wapi hawasemi hadi wimbo utaisha bila kuonyeshwa,,

2: Mngoni hata akisomeshwa vipi na wazazi wake ktk shule za Gharama,, hawezi kuwashukuru wazazi wake kwa kumpa elimu bora,, ila Akiozeshwa mke hapo huwa wepesi wa kutoa shukurani kwa wazazi wao,,

Sasa Wanajamvi habar hizi za watu wa kule Rizabon yatupasa kuzichuja ,,

Muhimu ni kuwarudisha kwao tu ,, kama Msumbiji walivyorudisha Watz kwao.
Lizabon na wenzake naye wajiandae kurudi kwao tu.

Ngonjera zako Peleka BAKITA
 
:Usahihi: Mbowe Kaenda polisi mwenyewe,Katibu CHADEMA Dar athibitisha::

Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika nao.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi limemkamata na kumpeleka Central ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.

By H Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Kwa hiyo ameandikiwa "SAMANSI" Na Facebook, Twitter, na Instagram?

Maana alidai haendi anasubiri "SAMANSI"
 
Mbowe kakosa UJASIRI hadi kazima simu tangua Jumatano wiki iliyopita, wala haonekani hadharani, huyu hafai kukabidhiwa nchi, anaogopa wito wa POLISI!!
Ujumbe huo peleka makao makuu lumumba.
 
Nawaona CHADEMA walivyopanic. Wanakimbilia kueneza propaganda kuwa eti Mbowe kajipeleka mwenyewe. Haya tuambieni wanasheria alioambatana nao huko Central. Mbowe kakamatwa akiwa na Dereva wake tu. hakuna mtu mwingine zaidi yao
 
Imekuwaje aende mwenyewe na alisema hawezi kwenda kwa wito wa kwenye vyombo vya habari mara wanasema kakamatwa ipi ni taarifa sahihi?
 
Mbowe afika kituo cha polisi hii leo kwa hiari yake

hii ni kwa mujibu wa habar ya saa hii kwenye East africa redio kipindi cha drive (4.46)
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm

Sasa lile taahira la mkoa lililotatuliwa marinda na marehemu mbona limetuletea news za uongo na linaachwa huru bila kuchukuliwa hatua na hawa mods wa jf? Au kwa kua limetumia id feki? Madaraka ya kuteuliwa kwa kugawa utu ni hatari sana.
 
Nawaona CHADEMA walivyopanic. Wanakimbilia kueneza propaganda kuwa eti Mbowe kajipeleka mwenyewe. Haya tuambieni wanasheria alioambatana nao huko Central. Mbowe kakamatwa akiwa na Dereva wake tu. hakuna mtu mwingine zaidi yao

Walizani Polisi wa sasa ni walee!
Tuliwaeleza mabadiliko
hatukulenga mwanamme kuwa mwanamke
haya ndio mabadiliko ya kweli
hakuna kuangalia sura
kama unahitajika polisi utakwenda tu
 
Walizani Polisi wa sasa ni walee!
Tuliwaeleza mabadiliko
hatukulenga mwanamme kuwa mwanamke
haya ndio mabadiliko ya kweli
hakuna kuangalia sura
kama unahitajika polisi utakwenda tu
Mabadiliko ya kweli haya si yale ya kuzungusha mikono
 
Back
Top Bottom