Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

SI NI MAJUZI ALIONEKANA AKIWA AMEJIFICHA KWENYE GREEN HOUSE NAONA WAMEMSHTUKIA NA KUMKAMATA. SASA TUSUBIRI MAJIBU YA VIPIMO.
1.jpg
 
nani kasema anatumia madawa??

kaitwa kutoa taarifa, kuulizwa na kutoa ushahidi.....kujifanya kukataa na ubabe ndio vina mgharimu

Diamond na Riziwani mmeshamuita? Au yule wa GSM mmeshamuuliza ??
 
Wewe aliyekwambia Lizabon,sababu ni UVCCM mwenzako sawa?Lissu yuko Bunda amekisikia mlichokipublicise.

Tuanelewa ni amri kutoka magogoni lakini miaka si mingi ianpita kama maji yaendevyo kwenye mto
Mkuu Mimi siyo uvccm ni raia WA Tanzania mkuu ,labda akina asenga ndio
 
Ni hatari sana kuhusisha siasa za rahisi (cheap politics) katika vyombo vya ulinzi na usalama yaani majeshi yetu. tumeona nguvu iliyo tumika kumtia nguvuni mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na kiongozi wa kambi ya upinzani mh. Freeman Aikaeli Mbowe.

Athari za kuhusisha vyombo vya ulinzi na usalama katika siasa
  1. kupandikiza chuki kwa raia juu ya vyombo vya ulinzi na usalama
  2. kuondoa ushirikiano kati ya raia na vyombo vya ulinzi na usalama
  3. kuondoa imani juu ya kazi zinazofanywa na yombo vya ulinzi na usalama
  4. kuhatarisha amani ya nchi yetu
  5. kila jambo linalofanywa na vyombo vya ulinzihata kama ni sahihi litachukuliwa ni la kisiasa

Hivyo basi mamlaka zinazohusika liangalieni hili kwa umakini na kwa namna ya kipekee kuilinda amani ya nchi hii na umoja wa kitaifa. Ukweli usiopingika suala la kutafutwa mpaka kukamatwa kwa mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe limechukuliwa kwa namna ya kipekee hata kama lipo ndani ya utaratibu au kinyume na utaratibu. Tumeona taifa likipitia katika kipindi ambacho viongozi wa serikali wakilalamikiwa kuwa hawapo Diplomatic na kufika mbali hadi kuonekana kukosa busara na hekima katika maamuzi.

Mwisho nchi yetu sote na tutaibomoa au kuijenga sisi wenyewe
Mungu ibariki Afrika mungu Ibariki Tanzania
 
Mhe. Iddi Azani mbali na tuhuma zote aaaah! Akachukua gari lake huyoo Polisi. Akajieleza akaruhusiwa. Ukijiheshimu unaheshimiwa. Ukijishusha unainuliwa.

uyo drug dealer hata kupimwa hajapimwa wala kusachiwa ndio ujue hii vita kuna watu wanatafutwa kisiasa mmoja wapo mbowe
 
Hamna ubishi eti kajipeleka, swala hapa ni kweli alitii wito? Wanasheria waliokaza kamba kwamba haendi imekuaje kauli inageuka kajipeleka. Ok tujadili atatoka lini, kuingia ndio keshaingia hivyo...mmmh
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
 
Back
Top Bottom