Alichokifanya Mh huyo ni ukaidi na ubabe wa kijinga. Angeonesha mfano, maswali yako yangekuwa na mantiki.Usiandike kwa kutanguliza hisia ,mswali niliyo yauliza hapo juu haujajibu hata moja.
Mnapokiuka Utartibu tulio jiwekea kama Nchi hasa huu wa kugawa haki kwa kila Raia ,hizo ni virugu..Acheni vurugu ..
Kukamatwa Kwa mbowe ambaye ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini. Na pia ni kiongozi mkuu wa upinzani Bungeni sio jambo dogo. Hasa kukamatwa huku kisiasa siasa. Nchi nyengine hawakubali kirahisi lazima timbwili lianzishwe...ili heshima ipatikane.
Kuridhia hili sasa ni vyema tukafuta vyama vingi...kama mkuu atalazwa shimoni ..mimi na wewe je?
Tukubali kushindwa kuleta democrasia na badala ya kuwa na vyama vingi tuvunje ..tuwe na chama kimoja au hata uchifu ili aliyeko akae tu maisha...na tutampigia makofi kila apitapo...
Tukubali maamuma sasa hatuna chetu...na jamii forum iwe forum ya mapenzi kuepuka kugongwa bure...
Tukumbuke huyu nyoka anatambaa kashamaliza bara na sasa anaenda Znz kwa Seif...tegeni masikio ..utasikia kama sio Seif basi Mazrui au Jussa au Duni anabwia unga
Wewe ni mnafiki mkubwa!miaka kadhaa nyuma kumekua na shutuma kwa serikali kufumbia macho masuala kadhaa yenye maslahi kwa taifa likiwemo hili la taifa kuangamia na madawa ya kulevya, ziku za karibuni serikali ya awamu ya nne imejizatiti kutokomeza miongoni mwa majinamizi yaliyokua yanaonekana vikwazo kwenye awamu zilizopita mbali na lile la ufisadi ambalo makomandoo wa chadema walikua wanaliweka mbele kama sera tambulishi kwao, sambamba na hilo shuhuda zinaendelea kutanabaisha kwa kujionea vijana wasanii wa filamu wanamuziki na wafanyabiashara maarufu waliokua wanaonewa haya na awamu zilizopita sasa wanatangazwa mubashara kwa kufanya biashara au kutumia madawa haya.....kilichonisukuma kuandika uzi huu ni pale makomandoo wenzangu wa chadema wanapotoka mapovu eti kwa kutajwa mwenyekiti wa chama chao kwa tuhuma za kujihusisha na ngada....kwani kwa mbowe kua mwenyekiti wa chama pekee kunaweza kumpa utakatifu wa kujitoa kwenye uhusika wa ngada?...kwa ushauri tu tuiweke nchi yetu mbele na si mtu wala kitu tuache mahaba yaliyopindukia ya kiushabiki tu na kama ingekua si kuiweka nchi mbele basi ccm makonda angeanza kumuonea haya ccm zungu na kutokumtaja kabisa...tubadilikeni jamani watu wote ni sawa na wana haki na wajibu sawa kwa jamii sio kunya anye kuku akinya bata kahara....nawasilisha
huyo kutoka mpaka baada ya wiki. siro anatekeleza maagizo toka juu.Keshamaliza kuhojiwa na kutoka, au ndo analala huko?
Kumekucha, hivi logic ya kumshikilia mtu masiku mengi huwa ni ipi? Na ile sheria ya masaa 24 huwa kuna namna polisi wana-bypass? Naomba kujuzwa kwa ufahamu wangu maana mtu kama Manji ameshindwa, sie makapuku tusio na wanasheria najiwazia!
Meanwhile kule kwa mkeemia mkuu mkojo wa chid benzi umewasili kwenye land cruiser nyeupe yenye vioo vyeusi tii tayari kwa kutumika kama sample ya bwana Mbowe...
Nafikiria kwa sauti tu!
Mbowe akikutwa negative mnikumbushe ninye hapa mpaka Hai.
Unless mkeemia awe Gwajima.!
Mkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe
Kama ilivyo katiba ya Sacco's ya ufipa... Ni kwa faida ya DJ ambaye leo hii yuko CentralSio kila Sheria ina manufaa ,nyingine zilitungwa kwa na wachache kwa faida ya wachache na kutumika kwa maslahi ya wachache..
Mvunja Sheria namba moja Nchi hii anajulikana ...
Kama anabwia zinahitajika 48 hours kuwa AROSTO.......hapo atahangaika kama kuku..
Wazalendo wote tunamuunga mkono MagufuliMtashindwa vibaya sana , mipango yote michafu mliyopanga imeanikwa na wazalendo .
upande huo wa pili nani ni msafi ?Tunataka viongozi wenye maadili katika jamii. Sio unabugia unga, unaiba au hulipi kodi halafu unatamba mtaani kuwa wewe ni kiongozi wa watu.
Kama ana makosa na ashughulikiwe kama wengine. Sheria za nchi zipo. Hatuwez kuishi bila kufuata sheria. Watu wasio ishi bila kufuata sheria na taratibu zilizopo ni watu wa ovyo kabisa. Hatutaki watu kama hao.
Katiba ya tanzania haijavunjwa...ila Kuna katiba ya Sacco's ya Ufipa imevurugwa kumpa ufalme DJKwanni huo ushauri usimpe mwenyekiti wa ccm anayevunja sheria kila siku na kusigina katiba wakati aliapa kuilinda na kuisimamia........
kumbe mrembo hivyokukamatwa na polisi jambo la kawaida sana sasa hivi, obviously angekamatwa sooner or later
Huto..... mpaka hai. Mimi naamini anabwia. Kama alikuwa habwii nini kilikuwa kinamuogopesha? Mimi sipati picha mtu kuogopa kwenda kituo cha polisi. Sielewi kabisa jaman. Hasa kwa nchi kama yetu na hadhi ya mtu kama mbowe.