Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Wewe jamaa ni mbea mbaya! Mbowe amejisalimisha mwenyewe polisi hajakamatwa, mijitu miongo kama mleta mada lazima huwa ina matatizo ya kisaikolojia
 

Umeshindwa kujibu hoja yangu ya Msingi na umeamua kugeukia mipasho,basi sawa..
 
Shida nini?? Si angeenda tu tangia mwanzo? Mtu mkubwa kama hivo katika jamii anaogopa polisi? What a shame!
Hivi unaongea una akili timamu, Mbowe anaogopa polisi au anataka sheria na taratibu zifuatwe?
 
Mi najiuliza Mbowe kama hausiki kwa nn anajificha au anaogopa dhambi zake zisisemwe hadharani
 
Mbowe ni mtoto wa mjini,naweza pia kumuita "mission town" kwa lugha ya mjini.Upo uwezekano kwamba ame-escape vices za mjini kama uuzaji na matumizi ya madawa ya kulevya,tena akiwa eneo la "dhambi" kama Bibilicanas?It is highly unlikely.I have always been suspicious of him.
 
Katiba ya tanzania haijavunjwa...ila Kuna katiba ya Sacco's ya Ufipa imevurugwa kumpa ufalme DJ
Nipe kifungu hiko unachodai kilichovunjwa ili mbowe aongezewe muda kuwa mwenyekiti kinyume na taratibu??
 
Uzalendo au ushabiki? Una uzalendo gani zaidi ya uombaomba na kupiga mizinga pale Lumumba? Mtasifia sana kila upuuzi but the day shall come! Yes, ukiona Giza totoro ujue kupambazuka kunakaribia na siku mpya kuanza.
Mbona kulishapambazuka? Siku mpya ilianza pale Magufuli aliposhinda na baadaye kuapishwa...
 
Nipe kifungu cha katiba ya Tanzania kilichovunjwa
Kasome sheria ya vyama vya siasa ukiikosa ntakuletea hapa...... sehemu ya pili inatamka kuwa ni haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano na maandamano kwa uhuru bila kuingiliwa..... sasa kwa huyo mwenyekiti wenu kuzuia mikutano eti mpaka 2020 hajavunja sheria ya vyama vya siasa???

Tuanze na hiyo sheria kwanza.... mpaka tutaelewana tu
 
Inawezekana kabisa wewe ni mgonjwa au Mbowe alikupa poda nyingi
 
Asanteni sana police kwa kumkamata huyo muuza unga na mtumiaji unga. Kesho apelekwe kwa mkemia mkuu wapime damu ya moyoni kabisa.
 
Lowasa anachekesha sana hivi Sioi alishatoka gerezani,nauliza tu maana sisikii tena habari zao
 
Hahahahahaha ule mtandao wa madawa ya kulevya hauwezi isha comishna kashasema gwajima ndo ivyo mmeangaikaa nae kaja kuwaumbua nyinyi.... Hiii ser**** haina kitu
 
Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
kakamatwa ameshushwa kwenye gar yake amepakizwa gar ya polis amepelekwa kuhojiwa baada ya mahojiano amerudishwa nyumban kwake na gar ya police
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…