Ni kweli ni uongozi imara. At least unaingiza buku saba sabaMbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
Hivi ni nani hua anatoa kibali cha kufanya upekuzi katika nyumba ama ofisi ya mtuhumiwa?Kwa sasa polisi wanamfanyia upekuzi nyumbani Kwake ili kujiridhisha ...
source:John Mrema (CHADEMA).
Nakumbuka Manji alipokelewa kama mfalme tena baada ya Majibu ya mkemia mkuu.....Duh Majibu ya mkemia tu ndo nayawazia maana kama yakitoka ndivyo sivyo heshima ya mtu inakwenda kuzikwa rasmi
Kuna uwezekano mkubwa yaliyomkuta Manji yanaweza kumkuta pia Mbowe, kwa style hii ni vigumu sana kupambana na vita vya madawa ya kulevya.
Hajaenda mwenyewe, usipotoshe, ukweli tuukubali mengine baadae.
Hajaenda mwenyewe, usipotoshe, ukweli tuukubali mengine baadae.
Wema Sepetu yuko ndani/ametoka?Kama ametoka hilo sio lengo lao,manake kakutwa na kizibiti na kesi haina dhamana!wabambambikie hata kimsokoto cha bange kama walivyofanya kwa Wema Sepetu
Kwa yanayoendelea nikiwa nchi za watu nitakana kama mimi ni mtanzania.Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
Mkuu, leo chadema wamechanganyikiwa sana. Yaani kukamatwa kwa Mbowe ni kama chama kimedhalilika. Henry Kilewo, Tumaini Makene na John Mrema wamesimamia propaganda ya kuwa Mbowe kajipeleka mwenyewe polisi. Sijui kwa nini hawakutoa mapema taarifa hiyo mpaka Lizaboni alipoumbua kukamatwa kwake. Yamechanganyikiwa
.....Ana hoja
magu ana ubabe wa kizamani sana. inferiority complex inamtesa sanaDuh! Yani baada ya kusikia yaliyowakuta akina Gwajima na Manji, ambao unaweza kukubali kidogo labda walishitukizwa (although walishasikia kuwa kina Wema na wenzake walisachiwa), unategemea umshachi 'mtuhumiwa' mwingine yeyote ukute kitu? Hata kwa mvuta sigara tu hutakuta hata kichungi....
Labda kama nia ni kutafuta vitu vingine kama passport na documents nyingine ili lipatikane na kumtia sekeseke. Otherwise ni kutimiza tu malengo ya MZEE WA MARINDA MTATUKO....yani kutunishiana msuli tu...kuonyesha NANI ZAIDI....basi.