luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Dah sasa magufuri si upunguze police hawana kazi?
Jamani magufuri hii ni dili la watu kupiga pesa? Umebana nao wanakudanganya wanafanya kazi kumbe wanapiga pesa
sasa kama kweli wameenda kwa mbowe si kudharirisha taaluma yao?
Au hiyo ndo hapa kazi tu? Ukija kustuka kutakuwa kumekucha.
Jamani magufuri hii ni dili la watu kupiga pesa? Umebana nao wanakudanganya wanafanya kazi kumbe wanapiga pesa
sasa kama kweli wameenda kwa mbowe si kudharirisha taaluma yao?
Au hiyo ndo hapa kazi tu? Ukija kustuka kutakuwa kumekucha.