Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dunia nzima ingeshangaa kama serikali ya CCM ingekuja na kusema,hatutaki upinzani /vyama vingi nchini Tanzania.Lakini kwa mwenye akili timamu anajua ,Tanzania upinzani na vyama vingi havitakiwi,kwa jinsi mambo yanavyokwenda!
 
Wengi wetu humu jamvini kumbe tunajifanya kuwa wajuzi kwa kila fani na taaluma.

Serikali (RC na Polisi) inamwita Mh kiongozi Mkuu wa Chama cha Siasa na Kambi ya Upinzani Bungeni, kumhoji, na kwa jeuri anatangaza hadharani kutokwenda;

Wasaidizi wake nao wanatangaza hadharani kwamba wanakubaliana naye asiitikie mwito;

Lakini bado wanamkamata Kiongozi huyo na kwenda kumsachi nyumbani kwake;

Nabado mnatia mashaka uwezo na weledi wa Polisi! Hakika, kama siyo mapenzi kwa Mh, ni umbumbu wa hali ya juu ya kazi, ujuzi na uwezo wa Polisi.

Ati, mwasemaje nyie mlioandika hivyo!
Amejipeleka hajakamatwa nikuulize wewe common sense zinakuambiaje anaweza akawa na madawa ya kulevya ndani kwa muda wa wiki mbili tangu alipotangazwa jina lake na Makonda real? Ungekuwa wewe hata kama hujaripoti polisi ungeyaacha hayo madawa ndani? Perception by common sense is best than imaginary and mere theories
 
Hapilisi mazoba sana.siku zote hizo hata kama ni kweli atanisubiri nyie na hivyo vizibhti!!!!!.kwanini hawakuvamia kabla hajatajwa.Tanzania hatuna jeshi la polisi.nyie polbsi wacheni kutumika kisiasa.
Siyo Polisi wazembe bali ni heshima waliyompatia mh.Mbowe kutokana na wadhifa au nyadhifa zake kwa upande wa upinzani,lakini yeye hakuitumia nafasi hiyo zaidi ya kutokuchukua au kutokufanya maamuzi mapema ya kufika kituo cha Police.
 
Duh Majibu ya mkemia tu ndo nayawazia maana kama yakitoka ndivyo sivyo heshima ya mtu inakwenda kuzikwa rasmi

Mkemia ndio ameshikilia heshima na wajihi wa mwenyekiti kwani majibu yakitoka ndivyo sinyo bhasi heshima aliyoijenga ndani ya miaka 20 inakwenda kuwa fedhea kubwa na ndio utakuwa mwisho wa kwenda Bunge la ulaya kwani wazungu wakisikia majibu ya mkemia hakuna taasisi au mtu yeyote atakayekubali kuwa karibu na Ufipa empire
Wazungu siyo wajinga kama unavyofikiri, wanajua sarakasi zote hizi dhamira yake ni nini, nyie bakini hapa Lumumba tu mkifanywa kama wajinga msiojitambua
 
Kuna uwezekano mkubwa yaliyomkuta Manji yanaweza kumkuta pia Mbowe, kwa style hii ni vigumu sana kupambana na vita vya madawa ya kulevya.
Mtaelewa tuu.
Gia ya angani kuibadilisha yataka ujasilii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Amejipeleka hajakamatwa nikuulize wewe common sense zinakuambiaje anaweza akawa na madawa ya kulevya ndani kwa muda wa wiki mbili tangu alipotangazwa jina lake na Makonda real? Ungekuwa wewe hata kama hujaripoti polisi ungeyaacha hayo madawa ndani? Perception by common sense is best than imaginary and mere theories

Hiyo ndo common sense inayotushinda kutumia. Ati kwa kuwa ana taarifa mapema, kama anahusika, atakuwa na muda wa kuficha! Kwa nini tusijiulize "beyond that common sense".
 
JF ya sasa imejaa mapunguani sana kila issues za kitaifa wanaingiza ushabiki wa kisiasa nikuilize hivi Manji ni Chadema?
Tuache sisi tuzisome namba tulioukataa ujinga toka awali...iko siku mtatupa asante!
 
Hiyo ndo common sense inayotushinda kutumia. Ati kwa kuwa ana taarifa mapema, kama anahusika, atakuwa na muda wa kuficha! Kwa nini tusijiulize "beyond that common sense".
Beyond kwamba ameyaacha ndani pamoja na predictability iliyopo? Popote panapokuwa na predictability ni njia sahihi ya kuwafanya wananchi waarange mambo yao kuepuka liability ndiyo maana kuna wale polisi wa usalama barabarani huwa wanashitukiza kupiga tochi wakitokea vichakani polisi wao wanajua the logic behind, in fact njia waliyoitumia toka awali wameikosea huwezi kumtangaza mtu hadharani kwa tuhuma halafu wiki moja baadaye uanze kutafuta ushahidi unadhani hoja ya kusema mtuhumiwa atapoteza ushahidi inatoka wapi na logically mtu kama mbowe hawezi kupoteza ushahidi if at all anahusika?
 
Halo kwa mbowe watapima had mbwa wake, majiran zake na familia yote kwa ujumla kama wanatumia, mana hawakubali kuumbuka wale
 
Beyond kwamba ameyaacha ndani pamoja na predictability iliyopo? Popote panapokuwa na predictability ni njia sahihi ya kuwafanya wananchi waarange mambo yao kuepuka liability ndiyo maana kuna wale polisi wa usalama barabarani huwa wanashitukiza kupiga tochi wakitokea vichakani polisi wao wanajua the logic behind, in fact njia waliyoitumia toka awali wameikosea huwezi kumtangaza mtu hadharani kwa tuhuma halafu wiki moja baadaye uanze kutafuta ushahidi unadhani hoja ya kusema mtuhumiwa atapoteza ushahidi inatoka wapi na logically mtu kama mbowe hawezi kupoteza ushahidi if at all anahusika?
Huo ndio mtihani, kama mtego/kitendawili, katika njia mpya ya kupambana na biashara ya madawa ya kulevya.

Wangapi wanakamatwa na ushahidi lakini wanakana na kushinda kesi!

Tusubiri hatima ya Kiongozi wetu. Kama anahusika, kwa kweli atakuwa ameondoa ushahidi - kama ni ule tu wa kukutwa nao mikononi.
 
JF ya sasa imejaa mapunguani sana kila issues za kitaifa wanaingiza ushabiki wa kisiasa nikuilize hivi Manji ni Chadema?

True aka I agree with U Boss Ritz
JF sasa hivi imejaa Mapunguani na Watu wanaofuata Upepo tu, Hatupendi kujisomea, hatutaki kuelewa kwanza kabla ya kuongea. Mtu anaamka tu na kuanzisha Post zisizokuwa na uhakika nazo, ili mradi tu aonekane ametuma Post. Pia tunashindwa kutofautisha Issue za Vyama na za Kitaifa.
Manji si Chadema, Manji ni Diwani wa CCM. Kwa maana hiyo Manji ni CCM.
 
CCM
NI CHAMA CHA MAJAMBAZI, mtu anatanganza vita dhidi ya madawa ya kulevya kuuumbe sio lengo lake bali NI kupambana na wapinzani na waleo wote wenye mlengo tofauti na wao - shame on you na sasa tumewajua na kupata ushirikiano kwa hali hio utakuwa mgumu
 
Back
Top Bottom