Mie nakereka balaaa
Watu kwann.mnaimani na chadema na ccm
Haya yote ni sumu
Hakuna.sumu iliyo na unafuu,watz wanateseka huko msumbiji na hapa nchini bado hali tete watu mnakazana na.uji.ga
Mnafurahia mtu anaepangua hoja za.magu na.bila kujali watz tunao tesela kila.kona
Nchi ishapotezana serikali haijatambui na upinzan nao.hawaeleweki wananchi ambao ni.maboss hawajui.wajibu wao
Mnashabikia.vitu vidogo sana na.kuwapa.moyo
Kwann tusikusanye kesho kuwakumbusha.serikali kwamba kuna ndugu zetu wanateseka msumbiji
Huyo mbowe yupo tuu