Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mkuu hayo mafuriko ni kwa Mbowe tu kwa Lema siyo?Wameogopa mafuriko ya wana CHADEMA ambao wangejaa leo kisutu na bendera zao .SIASA INATUFANYA TUJADILI MATUKIO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hayo mafuriko ni kwa Mbowe tu kwa Lema siyo?Wameogopa mafuriko ya wana CHADEMA ambao wangejaa leo kisutu na bendera zao .SIASA INATUFANYA TUJADILI MATUKIO
Chadema bana Mara wanakanusha hakukamatwa alijipeleka Mara wanakiri kakamtwa daah
Matola acha hasira bana.Unakata mauno tu nyuma ya keyboard sogeza puwa yako pale central utahiliwe bila ganzi ndio nitajuwa kweli wewe ni kamanda. Mjinga sana wewe.
Wanatumia DNA hata kama umepukuta basi DNA itaonyesha uwepo wa hiyo kitu. Teh teh.Kamanda siro anasema wamempekua nyumbani kwake na hawakukuta kitu, sidhani kama wako serious hawa watu na vita hii. Maana unamtaja mtu inachukua almost a week alafu unaenda kumpekua hata kama ni kweli anatuhumiwa kwa shutuma hizi utakuta kitu kweli? Alafu tena unasema amepewa dhamana lakini uchunguzi unaendelea, daaah hii ndio intelligency ya bongo!!
Tundu kawa mtetezI wa ujinga
Yaani ndani ya Chadema, Mtu anakamatwa, anapelekwa kunyea debe - Makamanda wanakusindikiza na vipost vyao facebook, vinasaidia nini sasa - Mtu anauawa vivyo hivyo
Ni karne ya 21 au 16?
Wewe yako ipo kwa shetani, au wewe na (Chadema)Mbowe hamna hukumu.Ccm hukumu yenu ipo kwa mwenyezi mungu
Wewe huna cherehani au mashine ya kufyatua tofali? Waziri alishasema how to reach an industrialized Tanzania au husikilizi taarifa za habari?hivi nchi ya viwanda ndio hii
Hata ulichokiandika haukijuiWewe yako ipo kwa shetani, au wewe na (Chadema)Mbowe hamna hukumu.
Mtafute Harmorappa akufundishe kutafuta kikiTundu kawa mtetezI wa ujinga