strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Magufuli must Go
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ndio shida ya ugonjwa wa SIZONJE unavowasumbua.. amewaambukiza ''WATOTO'' lumumbaSi alisema hatoenda Central ? ile misuli mbele ya waandishi wa habari imeishia wapi? ikiwa kama hajakutwa na madawa si ndio uzuri au wewe ulitaka akutwe na madawa? Muppet
Acha Kupotosha Kituo Kikuu pale ndo kuna IGP yeye alipelekwa Kituo cha Kati pale karibu na BandariJamani kingine mnapotafsiri neno Central Police mnapaswa kuandika Kituo kikuu cha polisi na si kituo cha kati.
Inakuhusu nini?Tushushi bei ya unga basi ila walala hoi tupate angalau mlo mmojaHii tabia ya bavicha kutoa matamko na baadae kuja kuyakana inashamiri kwa kasi ya ajabu.
Ni chadema hawahawa walitangaza Lowasa ni fisadi baadae wakamsafisha,
Ni chadema hawahawa walitangaza wanataka rais dikteta lakini baadae wakakana.
Ni chadema hawahawa walitangaza Sumaye ni Mr zero lakini sasa hivi wamemkumbatia.
Ni chadema hawahawa walitangaza hawatapokea makapi ya ccm, baadae wakayauzia chama makapi ya ccm!!
Juzi tu Walitangaza Mbowe haendi polisi kwa namna yoyote ile lakini jana ameenda na kuhojiwa kama kawa!!
Bavicha na chadema kwa ujumla mtaacha lini kulamba matapishi yenu ??
Kweli nchi mpewe nyinyi vigeugeu msio na msimamo kiasi hiki??
Jipimeni kama zinawatosha.
hakuna Jipya hapa naona marudio please jaribuni kufikili nje ya boxHii tabia ya bavicha kutoa matamko na baadae kuja kuyakana inashamiri kwa kasi ya ajabu.
Ni chadema hawahawa walitangaza Lowasa ni fisadi baadae wakamsafisha,
Ni chadema hawahawa walitangaza wanataka rais dikteta lakini baadae wakakana.
Ni chadema hawahawa walitangaza Sumaye ni Mr zero lakini sasa hivi wamemkumbatia.
Ni chadema hawahawa walitangaza hawatapokea makapi ya ccm, baadae wakayauzia chama makapi ya ccm!!
Juzi tu Walitangaza Mbowe haendi polisi kwa namna yoyote ile lakini jana ameenda na kuhojiwa kama kawa!!
Bavicha na chadema kwa ujumla mtaacha lini kulamba matapishi yenu ??
Kweli nchi mpewe nyinyi vigeugeu msio na msimamo kiasi hiki??
Jipimeni kama zinawatosha.
Kwa hiyo hakulala?
Hakuna kitu kama hicho mwenyezi mungu bali kuna Mwenyezi MunguCcm hukumu yenu ipo kwa mwenyezi mungu
alilala nyumbani kwake.Kwa hiyo hakulala?