Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subira yavuta kheri. Mkuunyie pigen soga tu mi nasubiria sirikali ya viwanda hapa
Hajapimwa. Akirudi huenda akapelekwa maabara, ili tujiridhishe kuwa yeye kama kiongozi wa taifa hayumo?Jamani narcotic test results za Mh. Mbowe zilitoa matokeo gani?
Hata kama akipimwa unaweza kukuta aliwahi kufanyiwa upasuaji siku za karibuni. Kwa ninavyo sikia hizi dawa hutumika pia mahosipitali kwa ajili ya upasuaji sasa huwezi kumshtaki mtu kwamba ni mtumiaji bila kujua historia ya afya yake.
Hahahhaaa kwahyo sahivi sio muuza unga ila mtumiaji???? Kaz kwelikweli....... kwa staili hii kuna atakayefungwa???? The so called mapapa wa madawa??Hajapimwa. Akirudi huenda akapelekwa maabara, ili tujiridhishe kuwa yeye kama kiongozi wa taifa hayumo?
Jielekeze kwenye madaUmesoma Mpaka Darasa La Ngapi?? Au Uko Darasa La Ngapi??
luckily!Mbowe tested (-) Unlucky
Kuweka zuio asihojawe kuna kitu an ajaribu kuficha
Ujulishe kama nani?Jamani narcotic test results za Mh. Mbowe zilitoa matokeo gani?
Lizaboni nilishakuambia kuwa watu humu inawezekana wanakufahamu, sasa unapojibu hovyo, unajivunjia heshima. Pamoja na mapenzi ya Lumumba be realistic and an intelligible person!Bado hajapimwa. Alienda kuflash damu South Afrika
Ni kweli kabisa. Lakini mazingira yanayotumika katika kuwashughulikia hawa jamaa ni ya kituhumiwa na kipolisi zaidi, kwa hiyo hawana interest ya kujua historia ya afya ya mtu. ni sawa na kusema kwamba wote wenye HIV wamepata kwa sababu ni waasherati. wapo wengi waliopata kwa njia tofauti kabisa.Hata kama akipimwa unaweza kukuta aliwahi kufanyiwa upasuaji siku za karibuni. Kwa ninavyo sikia hizi dawa hutumika pia mahosipitali kwa ajili ya upasuaji sasa huwezi kumshtaki mtu kwamba ni mtumiaji bila kujua historia ya afya yake.
Jielekeze kwenye mada
Mkuu hapana haipo hivyo hakuna kitu kinachoitwa kituo cha kati hicho kituo unachosema karibu na station au karibu na zilipokua na ofisi za Tanesco zamani ndiyo panaitwa Central Police kwa maana ya kituo kikuu cha polisi. IGP yupo wizara ya mambo ya ndani ndipo palipo na ofisi yake na makao makuu ya jeshi la polisi.Acha Kupotosha Kituo Kikuu pale ndo kuna IGP yeye alipelekwa Kituo cha Kati pale karibu na Bandari
Kumbe hujanielewa mimi nilikua nawasahihisha hawa wanaotafsiri pale Central Police ya mkabala na station kama kituo cha kati cha polisi. In fact, hakuna kituo cha kati ni kituo kikuu cha polisi. Ni sawa na mtu atafsiri Central Bank of Tanzania aseme Benki ya kati ya Tanzania. Nadhani umenielewa. Watu humu wanatafsiri hicho kituo kama neno central lilivyo. Nadhani umenielewa hapo.Cha kati kiko wapi? Wewe unatafsiri kwa kuwa center ni kati pole sana. Kiingereza usikichezee baba kinabadilika maana kila kinapotumiwa sehemu tofauti. Central ni sehemu kuu, yenye matawi.
Kuna kitu umekihisi . Sio bure. Au ndio kuunganisha dots na hili la juzi?napita tu
Mkuu mimi nimeamua kupitapita tu humu jamvini maana nasikia kuna wanaoumwa hadi kufanyiwa assisted ventilationKuna kitu umekihisi . Sio bure. Au ndio kuunganisha dots na hili la juzi?