ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,551
Jf kuna mamboMkuu mimi nimeamua kupitapita tu humu jamvini maana nasikia kuna wanaoumwa hadi kufanyiwa assisted ventilation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf kuna mamboMkuu mimi nimeamua kupitapita tu humu jamvini maana nasikia kuna wanaoumwa hadi kufanyiwa assisted ventilation
AiseeKuna kitu umekihisi . Sio bure. Au ndio kuunganisha dots na hili la juzi?
Viwanda vinajengwa kama kawaida....ila ukumbuke ipo sekta inayoshughulikia ngadanyie pigen soga tu mi nasubiria sirikali ya viwanda hapa
Juzi dozi ilizidinapita tu
Labda Arosto tu...mzigo haupatikani kirahisi nyakati hizi ndio maana Magufuli atalaaniwa sana...maana kuna watu washaanza kuhitaji methadoneJuzi dozi ilizidi
Sasa hivi tutasikia kapelekwa india kwa matibabuLabda Arosto tu...mzigo haupatikani kirahisi nyakati hizi ndio maana Magufuli atalaaniwa sana...maana kuna watu washaanza kuhitaji methadone
Mbowe is an expert in the cat and mouse game with the government and if not careful, he wall caught in trap that he has set and shall have no one to blame but himselfMkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe
Ingekuwa bora zaidi kama ungeandika kwa kiswahili kwani umeiboronga lugha ya Malkia Elizabeti wa pili wa UingerezaMbowe is an expert in the cat and mouse game with the government and if not careful, he wall caught in trap that he has set and shall have no one to blame but himself
Baba soma vizuri na hiyo wall inatokana na speed ya uandishi na siyo kuboronga lugha ya kingerezaIngekuwa bora zaidi kama ungeandika kwa kiswahili kwani umeiboronga lugha ya Malkia Elizabeti wa pili wa Uingereza
Would i satisfy your soul by writing as follow; 'Mbowe is an expert in cat and mouse game with the government and if not careful, he will get caught up in a trap that he has set and shall have no one to blame but himself'Baba soma vizuri na hiyo wall inatokana na speed ya uandishi na siyo kuboronga lugha ya kingereza
Kweli wewe ni AbunuwasiBaba soma vizuri na hiyo wall inatokana na speed ya uandishi na siyo kuboronga lugha ya kingereza
WALA HUJAKOSEA MIMI NI ABUNWASI, MAANA NIMEMZUNGUMZIA MTU AMBAYE HAPASWI KUZUNGUMZWA NEGATIVELYKweli wewe ni Abunuwasi
Bado saaana. Nimecheka sana nimezikumbuka zile hekaya za abunuwasiWould i satisfy your soul by writing as follow; 'Mbowe is an expert in cat and mouse game with the government and if not careful, he will get caught up in a trap that he has set and shall have no one to blame but himself'
Naanza kunusa hiyo harufuSasa hivi tutasikia kapelekwa india kwa matibabu
A PERSON WHO 'ON A CLEAR DAY CAN SEE TOMORROW 'IS MUCH MORE INTELIGENT THAN A 'PERSON WHO DREAMS ABOUT YESTER YEARS THAT HAVE LONG GONE AND HAVE NO RELEVANCE WITH THE PRESENTBado saaana. Nimecheka sana nimezikumbuka zile hekaya za abunuwasi
Hilo ndio kosa lako...WALA HUJAKOSEA MIMI NI ABUNWASI, MAANA NIMEMZUNGUMZIA MTU AMBAYE HAPASWI KUZUNGUMZWA NEGATIVELY
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA.
View attachment 472616
=====
UPDATES:
Apekuliwa nyumbani, arejeshwa Central...
Aachiwa:
Tumia lugha ya taifa tu!!Mbowe is an expert in the cat and mouse game with the government and if not careful, he wall caught in trap that he has set and shall have no one to blame but himself