Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Bavicha: Mbowe hawezi Kwenda kwanza aliyetajwa alikua Philemon

Bavicha: Jembe Mbowe hawezi Kwenda ha!ha!

Media: Mbowe amekamatwa ashikiliwa Kituo cha kati.


Bavicha: Crying again Police didn't arrest Mbowe he decided to go himself.

IMG_20170207_141409.jpg

 
Waliokua wanampa Kichwa kwenye Uzi ule wa kujisalimisha wako wapi? Eti asiende mbowe alijua vyombo vya Ulinzi na Usalama atavizidi akili?
Mie nataka waende mahakamani tucheke kidogo na maswali yenye majibu ya sijui.

Itakuwa kama ifuatavyo;
Wakili wa Mbowe: Tunaomba ueleze mahakama elimu yako
Shahidi: Form four
Wakili wa Mbowe: Ieleze mahakama maana ya madawa ya kulevya
Shahidi: Sijui
Wakili wa Mbowe: Ulijuaje kuwa Mbowe anaweza kuwa anahusika na madawa ya kulevya
Shahidi: Nilipigiwa simu toka juu nikaambiwa anahusika na madawa ya kulevya hivyo nimkamate
Wakili wa Mbowe: Ulitumia njia gani kujiridhisha kuwa anahusika na madawa ya kulevya
Shahidi: Sijui
Wakili wa Mbowe: Kazi ya upelelezi ulisomea wapi
Shahidi: Sijui......
 
Hizi jitihada zingetumika kuwakamata wezi wa pesa za escrow,lugumi etc nchi ingekua mbali kimaendeleo.
Sijui ni kwanini nguvu nyingi ya dola inatumika kwenye mambo yasiyokua na msingi badala ya real issues
Hapa ndo naamini wale waliosema hii vita ni visasi vya kisiasa
Madawa ya kulevya ni janga la kitaifa. Kwa hilo tunaipongeza serikali kukamata watu wote wenye kuhusika na mihadarati
 
Kwa ufahamu wako Wema na TID unafikiri walikuwa wanatafutwa kweli? Hiyo ilikuwa ni gia ya kuwaingilia watu, sasa wameshalianzisha na kina wema na TID kwasasa wapo uraiani ila waliokuwa wanatafutwa tunawaona kila siku Mara hospital au mahakamani.


Ila nawaambieni hii sumu inayomwagwa hapa Tanzania siku sio nyingi itaonyesha kile wanachokitaka kitokee.

Tanzania sio mbingu wala peponi ila ni nchi kama zilivyo Congo na Burundi.
Tujiulize kwanini mpaka Leo tuna amani na kwanini wale kila siku wanapigana.


Viongozi waombe Hekima na Busara katika kulitumikia Taifa letu.
Kwa sababu kaguswa mungu mtu Mbowe....
 
Serikali ya CCM kama ingekuwa inashughulikia mambo ya msingi kama inavyoshughulikia wapinzani Siku nyingi tungeshakuwa na Tanzania ya viwanda!
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Lizaboni,
Leo ni siku gani?
Mbowe alipewa siku ngapi asiporipoti akamatwe?
Unauhakika kuwa taratibu zilikuwa bado hazijafuatwa?
Je,nikisema kuwa taratibu za kumuita polisi zimefuatwa na Mbowe kaamua kwenda utanibishia?
Sina swali zaidi.
 
Siamini kama huyu jamaa alikuwa anajificha kama inavyosemwa.Katikati ya wiki iliyopita nilimuona pale wanapaita Nyuma ya ubalozi wa UFaransa akila chakula
 
Back
Top Bottom