Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Mhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu
Wakoloni waliwahi mno kuondoka,na awamu hii wamelitambua hilo
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA


Mbowe ni Kiongozi wa KUB anatumia gari ya serikali na dereva wa serikali.....
Hizi nyingine sasa ni siasa nyepesi!
 
Nina hakika na taarifa hii. Sijawahi kuleta habari ya uongo hapa
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa Mbowe alikua njiani kuelekea Central ndipo Police waliposimamisha gari lake na kumuamuru apande gari la Police.

Sasa wewe unaleta stori za vijiweni humu
 
Acha akomae azoee sero maana kazi bado nzito, aache uoga akomae sasa Kama dume ili mqqndamano yakitokea aje mbele!
 
Kwa hili la Mbowe kukaidi agizo la Polisi hakika anajimaliza mwenyewe
Wacha abebe msalaba wake mwenyewe, nimemshangaa badala ya kujisalimisha akaamua kusikiliza ushauri wa Zitto Khaa! Haya sasa tuone kama Zitto atamsaidia.
 
Acha kupotosha umma mkuu. Wengi tumeiangalia hiyo taarifa ya ITV...hakuna sehemu ndugu mtangazaji alisema "Ameshushwa kwa Lazima na kupandishwa kwa lazima kwenye gari ya Polisi"...ukizingatia ITV wameripoti taarifa hii kwa weledi bila kuamsha hisia za upande wowote.
na wewe acha UONGO kilamtu kaiangalia ITV
ingawa hakukuwepo na picha lkn kashushwa kwenye gari yake na kupandishwa ya Polisi wakiwa njia
na wanamshikilia mpaka sasa baada ya kutoka kwake
sasa unataka kuungana na waliosema alikwenda mwenyewe Central?
 
Hivi akipatikana kwa mkemia mkuu kwamba ni mtumiaji wa hivyo vitu, itakuwa vipi?
 
Kwa taarifa hii tunaweza kuamini kuwa ni rasmi, KUB amelala sero la police central na kesho atatolewa kwenda kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kupimwa status yake ya kutumia mihadarati!
 
Back
Top Bottom