Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Yuko sober mkuu, mlifanya makosa kupiga mbiu ya mgambo.Wampime mkojo tu inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sober mkuu, mlifanya makosa kupiga mbiu ya mgambo.Wampime mkojo tu inatosha
Unanishangaa nini sasa mijitu mingine bana mie JF nimekuja peke yangu sijashikiwa akili na mtu nachochangia ni fikra zangu, wewe unadhani hili suala la madawa ya kulevya ni la ushabiki wa vyama? usilete ushabiki mandazi.umepata like yangu kwa mala ya kwanza! Nimekushangaa haushangilii kama wenzio akina Lizaboni and company! At least umekuwa sio shabiki wa Dracula Leo! Umeutoa utu wapi jamaani! Endelea hivyohivyo
...Wacha wacheze na nyumba maana wao huishi mabanda ya mabati.
Duh! Yani baada ya kusikia yaliyowakuta akina Gwajima na Manji, ambao unaweza kukubali kidogo labda walishitukizwa (although walishasikia kuwa kina Wema na wenzake walisachiwa), unategemea umshachi 'mtuhumiwa' mwingine yeyote ukute kitu? Hata kwa mvuta sigara tu hutakuta hata kichungi....Kwa sasa polisi wanamfanyia upekuzi nyumbani Kwake ili kujiridhisha ...
source:John Mrema (CHADEMA).
Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.
Wampime mkojo tu inatosha
Makonda kawapa unga wakamchekee kijanja ili abambikiwe kesi inabidi mashahidi wawe makini pia kule kwa mkemia mkuu napo watambambikia matokeo feki awe makini.Yaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Duh Majibu ya mkemia tu ndo nayawazia maana kama yakitoka ndivyo sivyo heshima ya mtu inakwenda kuzikwa rasmi
Wanakagua na mapanyabuku yananusa bangi, wala usihangaike kusugua. Sasa tusubiri.Yaani labda vipimo lakini kwa upande wa NYARAKA TANGU AITWE MPAKA LEO AWE BADO ANAZO TU MIMI SI DHANI.
Haya mambo Mbowe ameyataka mwenyewe kwa ukondoo wake, kama angeruhusu maandamano ya ukuta walau polisi wangeona Chadema ni wanaume. Nashangaa ameshindwa hata kuitisha maandamano kesho kwenda kumtoa sentro. Lema amesahaulika jela sasa polisi wameona chadema ni mabwege wameamua kushika pu*bu kabisa na hakuna kitu chama kitafanya. Ruhusu vijana waandamane kukutoa selo wewe mpuuzi mbowe. Umefanya yule jamaa anavuruga nchi na anataka machafuko pasipo na ulazima acha tumuonyeshe kuwa kura zaidi ya milioni sita zilipigwa kwa Chadema
Kitambo! Huwezi kukagua kama mwenywe hayupo.Huo sio upekuzi, bali ni udhalilishaji. Upekuzi ungeishafayika kitambo
Mkemia mkuu ni rafiki mkubwa wa makonda tayari ana matokeo mfukoni atabadili njama zake endapo ni mwana JF kwani humu atabaini watu wanajua njama zake.Duh Majibu ya mkemia tu ndo nayawazia maana kama yakitoka ndivyo sivyo heshima ya mtu inakwenda kuzikwa rasmi
Mashaka yangu ni kumbambikizia hata msokoto. Je waliwasearch kabla?Polisi bwana tokea wamtanganze,yeye kwani mjinga aache ushahidi ndani?