Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

umepata like yangu kwa mala ya kwanza! Nimekushangaa haushangilii kama wenzio akina Lizaboni and company! At least umekuwa sio shabiki wa Dracula Leo! Umeutoa utu wapi jamaani! Endelea hivyohivyo
Unanishangaa nini sasa mijitu mingine bana mie JF nimekuja peke yangu sijashikiwa akili na mtu nachochangia ni fikra zangu, wewe unadhani hili suala la madawa ya kulevya ni la ushabiki wa vyama? usilete ushabiki mandazi.
 
Kwa sasa polisi wanamfanyia upekuzi nyumbani Kwake ili kujiridhisha ...

source:John Mrema (CHADEMA).
Duh! Yani baada ya kusikia yaliyowakuta akina Gwajima na Manji, ambao unaweza kukubali kidogo labda walishitukizwa (although walishasikia kuwa kina Wema na wenzake walisachiwa), unategemea umshachi 'mtuhumiwa' mwingine yeyote ukute kitu? Hata kwa mvuta sigara tu hutakuta hata kichungi....

Labda kama nia ni kutafuta vitu vingine kama passport na documents nyingine ili lipatikane na kumtia sekeseke. Otherwise ni kutimiza tu malengo yao....yani kutunishiana msuli tu...kuonyesha NANI ZAIDI....basi.
 
Mbowe huyu aliyeita press conferece? Nilisema huwezi kucheza na Serikali, hilo ni somo, wapinzani mna wakati mgumu sana kuelewa maana ya Serikali. Mtanyooka tu, mnafikiri nchi hii ni yenu peke yenu. Tupo Watanzania lukuki ambao tupo nyuma ya uongozi imara wa JPM.

Hongera maana Mbowe siyo Mtanzania. Nadhani pasi ikijapita kwako ndipo utajua umenyooka au blah.Umepata kimpumu maana viroba wamekataza ili furaha yako iapate kuwa nzuri sukumia kimpumu Basi.
 
Hivi nchi itaendelea kweli kwa hivi vichekesho vinavyoendelea kufanyika kweli?

Jamani hebu tuacheni utani katika mambo mazito.

Hata kama mbowe angekuwa anafanya hiyo biashara hivi angekuwa mjinga kiasi gani aendelee kubaki na mzigo hadi sasa?

Utani katika mambo mazito ndio umeifanya nchi kuendelea kuchutama kama ilivyo sasa!
 
Duh Majibu ya mkemia tu ndo nayawazia maana kama yakitoka ndivyo sivyo heshima ya mtu inakwenda kuzikwa rasmi

Mkemia ndio ameshikilia heshima na wajihi wa mwenyekiti kwani majibu yakitoka ndivyo sinyo bhasi heshima aliyoijenga ndani ya miaka 20 inakwenda kuwa fedhea kubwa na ndio utakuwa mwisho wa kwenda Bunge la ulaya kwani wazungu wakisikia majibu ya mkemia hakuna taasisi au mtu yeyote atakayekubali kuwa karibu na Ufipa empire
 
Haya mambo Mbowe ameyataka mwenyewe kwa ukondoo wake, kama angeruhusu maandamano ya ukuta walau polisi wangeona Chadema ni wanaume. Nashangaa ameshindwa hata kuitisha maandamano kesho kwenda kumtoa sentro. Lema amesahaulika jela sasa polisi wameona chadema ni mabwege wameamua kushika pu*bu kabisa na hakuna kitu chama kitafanya. Ruhusu vijana waandamane kukutoa selo wewe mpuuzi mbowe. Umefanya yule jamaa anavuruga nchi na anataka machafuko pasipo na ulazima acha tumuonyeshe kuwa kura zaidi ya milioni sita zilipigwa kwa Chadema

Umeshawaambia UVCCM mnaanzia maandamano wapi??
 
Duh Majibu ya mkemia tu ndo nayawazia maana kama yakitoka ndivyo sivyo heshima ya mtu inakwenda kuzikwa rasmi
Mkemia mkuu ni rafiki mkubwa wa makonda tayari ana matokeo mfukoni atabadili njama zake endapo ni mwana JF kwani humu atabaini watu wanajua njama zake.
 
Back
Top Bottom