Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Basi sawa ataje na wengine kwani watuhumiwa wameisha atulie dawa iingie kumbe ndo maana yule akaja kutuhubiria kuhusu brand sisi Hatuna shida na brand shida yetu ni kupunguza "mazombi" mtaani vijana wamekuwa kama mazombi kwa kutumia ngada
 
Huyu dada kaongea kile anachokijua,kwanini polisi walazimishe wataje bosi wake wakati ameshawambie yeye hajui chochote,kwanini polisi wasitumie nguvu walizokuwa naza kuchunguza kwanza kabla ya kuvamia katika nyumba za raia,kisheria "search warrant" anaetoa ni hakimu lakini hii kesi ukiingalia inaongozwa na Mkuu wa mkoa,Sheria iko wapi,nchi inaongozwa bila ya sheria,nchi inayoongozwa bila ya sheria ujue haina tafauti na pori na watu wake wote ni wanyama.na hivi ndio ilivyo Tanzania kwa sasa!!!!
 
Ha ha ha NIKIKUMBUKA MATUSI YA WEMA KWA LOWASA KWENYE KAMPEN SINA HAMU NA HUYU DADA NASEMA HIV WEKA JELA HATA MIAKA 10000000000008473....
 
khe ni wewe unaeona hivo vijisent vya kutumwa na kujiuza ndo hela.l tell hapo vijisent tu kelele angezishika je kama wahusika wenyewe ungesemaje
 
Nachojua Mkonda nae sio msafi ndo maana Nape nauye kaongea kitu mka mpuuza
 
Umetisha,
 

Mkumbuke kuwa wenzake walikamatwa pia na labda wamemtaja.
 
Well said[emoji4]
 
Hiyo tayari mbona. Taarifa ya habari imetangaza wamekuta msokoto wa bangi pamoja na karatasi za kuvutia katika makazi yake
Hivi kweli kosa hili la kumpoteza mtu?? Wabunge kibao wavuta bangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…