Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

 
Let me kiss you for this,ukweli umeshajulikana ,wema awekwe ndani tu
 
Mungu akupi vyote kiongoz
 
He he heiyaa
 
Mheshimiwa naye kwa kupenda misambwanda hajamboooo!!
 
Ila jamn tuache utani hizi voice clip zitamsababishia Wema matatizo zaid wao wanaona km sifa but ni kumuharibia mwenzao zaidi duh so sad kwa kweli
Mdomo uluponza kichwaa....eti they treat us veery good....tukisemaga wema ni zero brain bichw a limejaa kamas timu wema mnanuna...muda huu sio wa kuropoka..
 
Anazidi kusaidia polisi tu. Alijuaje Masogange anauza madawa ya kulevya Kama hajihusishi na hiyo biashara. Halafu hii audio itazidi kummaliza. Wanasemaga mdomo huponza kichwa.

Kwani masongane dunia mzima siilijua
 
Ila jamn tuache utani hizi voice clip zitamsababishia Wema matatizo zaid wao wanaona km sifa but ni kumuharibia mwenzao zaidi duh so sad kwa kweli
Akikuharibia na wewe mharibie kama ni mahabusu tayari yupo hivyo she has nothing to lose.
 
Hahaha umeona eeeh

Maana ubuyu wa leo mtamuuuuuu wa motoooooooo
binamu tok asubuhi sijapiga mswaki wala kuoga,macho yote insta n jf,asikwambie mtu umbea mtamu bhn,hili mama ubaya waliongezee kesi ya kumtukana muheshimiwa[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenena Vyema.Alipaswa kuzungumza na mwanasheria mambo yake sio wambeya wa Insta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…