mbarikiwa2017
Senior Member
- Dec 27, 2016
- 120
- 146
Chochote utakachotamka kitatumika kama ushahidi mahakamani....angejua angekaa kimya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameongea ukweliChochote utakachotamka kitatumika kama ushahidi mahakamani....angejua angekaa kimya tu
Huyu alierekodi ni mnafiki na hamtakii mema Wema...kuna sehemu karudia rudia anamuuliza Wema boss nani, Wema anajibu boss m*t*k*! Sasa huyu Mange nae aliepost hii audio si kama anamgandamiza Wema?!!Mjini sihami aisee
....jk huyu brazaman si wa juzi tu?Hahaha thank u. Form four nilishamaliza zaman enzi za jk
Mpaka wathibitishe sauti ni ya wema....binamu tok asubuhi sijapiga mswaki wala kuoga,macho yote insta n jf,asikwambie mtu umbea mtamu bhn,hili mama ubaya waliongezee kesi ya kumtukana muheshimiwa[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja niendeNenda central utampata
Yaani mange ndio ziro brainHuyu alierekodi ni mnafiki na hamtakii mema Wema...kuna sehemu karudia rudia anamuuliza Wema boss nani, Wema anajibu boss m*t*k*! Sasa huyu Mange nae aliepost hii audio si kama anamgandamiza Wema?!!
Kama Lema vile....Hapo anatafuta kesi juu ya kesi.
Bahati mbaya sana ya aina ya mastaa tulionao bongo ktk fani zote asilimia kubwa ni vilaza hawajitambui zaidi ya kulewa na ustaa uchuro.Hapo polisi wema hatoki,analeta ustaa hadi kituo cha polisi,ataisoma namba
Umeambiwa aliwa kamatwa S.A na madawaBasi ushaidi tiyari umekamilika kama wema mwenyew anazbitsha kwamba masogange ajatajwa maana yake wema anausika na madawa na anawajua wenzake!! Birds of the same feathers do fly together
makonda huyu hivi hana style nyingine ya kusolve matatizo. kiki kila mahali
hakuna ajuae kesho
Fanya fasta mkuu....kabla hajahamishiwa keko.... si umesikia kwenye clip dhamana imezuiwa???Ngoja niende