Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mjini sihami aisee
Huyu alierekodi ni mnafiki na hamtakii mema Wema...kuna sehemu karudia rudia anamuuliza Wema boss nani, Wema anajibu boss m*t*k*! Sasa huyu Mange nae aliepost hii audio si kama anamgandamiza Wema?!!
 
Hili zigo lishamfia makonda....huyo wema hana cha kupoteza mpaka.sasa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni msipompa Mungu atawaadhibu kama waleeee wa rombo gadhabu ya Mungu inatisha!
 
binamu tok asubuhi sijapiga mswaki wala kuoga,macho yote insta n jf,asikwambie mtu umbea mtamu bhn,hili mama ubaya waliongezee kesi ya kumtukana muheshimiwa[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka wathibitishe sauti ni ya wema....

Halafu kutukana ni miezi 6 tu jela

Kwanza wamuacheeeeeeee kama hawajapata kithibiti..... maubuyu na drama za mjini tutazipata wapi wakimweka jela????

Ila serious haki itendeke...kama anauza ashtakiwe na si kwa interest au kiki au kuuziwa zigo.... jela sio pazuri binamu
 
Huyu alierekodi ni mnafiki na hamtakii mema Wema...kuna sehemu karudia rudia anamuuliza Wema boss nani, Wema anajibu boss m*t*k*! Sasa huyu Mange nae aliepost hii audio si kama anamgandamiza Wema?!!
Yaani mange ndio ziro brain

Katushiwa clip kaona masifa kuwa source of infomation kumbe anazidi kumponza mwenzie

Na aliyemrekodi atakuwa mtu wa karibu na wema ambaye wema anamuamini ndio maana akajiachia

Inasikitisha sana pale .....mtu wa karibu na wewe ndio anakuponza
 
Hongera sana Wema Sepetu kwa kuongea ukweli inawezekana ni kweli Makonda anawajua hao wauzaji wa madawa ya kulevya ila anataka kuwatoa kafara nyie ila ukweli umeshajulikana.
 
Angekua mpole huyu TZ swthrt atafiksiwa mpaka ashangae.
 
Hapo polisi wema hatoki,analeta ustaa hadi kituo cha polisi,ataisoma namba
Bahati mbaya sana ya aina ya mastaa tulionao bongo ktk fani zote asilimia kubwa ni vilaza hawajitambui zaidi ya kulewa na ustaa uchuro.
 
Agness Masogange kumbe inshu yake ndo maana ameshindwa kumtaja aisee eti nimejitoa kupambana na wauzaji wakubwa wa dawa za kulevya unahangaika na akina Wema Sepetu.kuna audio nyingine nyingi sana.
 
Basi ushaidi tiyari umekamilika kama wema mwenyew anazbitsha kwamba masogange ajatajwa maana yake wema anausika na madawa na anawajua wenzake!! Birds of the same feathers do fly together
Umeambiwa aliwa kamatwa S.A na madawa
 
Wema anajua mengi na pia kuna maneni ameyaongea nimevuka mpaka hata mimi. Kuhusu masogange hili kweli hapo ilitakiwa jamaa amwingize. Pia kunaweza kuwepo kuna maslahi fulani. Hivi ile taasisi ya kupambana na madawa ya kulevya bado iko?

Wema abanwe aseme zaidi kama kaweza kujua hadi fulani kampangia fulani badi hata wauzaji anajuana nao. Na hao aliosema ni wauzaji wamekuja na kuachiwa inamaana anawajua pia
 
Back
Top Bottom