Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Aisee nitampata kweli? Ila nisije nikaunganishwa kwenye kesi aiseeFanya fasta mkuu....kabla hajahamishiwa keko.... si umesikia kwenye clip dhamana imezuiwa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nitampata kweli? Ila nisije nikaunganishwa kwenye kesi aiseeFanya fasta mkuu....kabla hajahamishiwa keko.... si umesikia kwenye clip dhamana imezuiwa???
Alikuwa anapiga umbea na Team Wema!Huyu alierekodi ni mnafiki na hamtakii mema Wema...kuna sehemu karudia rudia anamuuliza Wema boss nani, Wema anajibu boss m*t*k*! Sasa huyu Mange nae aliepost hii audio si kama anamgandamiza Wema?!!
Kama ni hivyo basi ni jukumu lake kutuambia hao wauza unga anaowalinda mh. Makonda ni akina nani?Wema anasema Makonda anawajua wauzaji wa madawa ya kulevya ile anataka kuwatoa kafara wao huu upuuzi kabisa.
Ikipita 10 yrs inafutika au?Mange mwenyewe ni suala la muda labda asirudi bongo maana wanamsubiri kwa ham kweli kweli na mkumbuke ni miaka kumi
Sio kina Junaither kweli waliomrecord manake ndo group lake sasa hivi...Yaani mange ndio ziro brain
Katushiwa clip kaona masifa kuwa source of infomation kumbe anazidi kumponza mwenzie
Na aliyemrekodi atakuwa mtu wa karibu na wema ambaye wema anamuamini ndio maana akajiachia
Inasikitisha sana pale .....mtu wa karibu na wewe ndio anakuponza
Hahahaha,Konda bana anampangia MASOGANGE masela Wanakula kiulaini bure Haaa kanda ya ziwa ina watu mi zezeta balaa
Mi Wema kanichekesha eti " yaani mapolisi hawatufanyii hata maninii kabisa tuko vizuri"Fanya fasta mkuu....kabla hajahamishiwa keko.... si umesikia kwenye clip dhamana imezuiwa???
wacha uongo kuna mtu hajui masogange hakushikwa south africaMchanganuo wa video clip hii kwa nionavyo:-
1. Wema hajakanusha kwamba hahusiki na madawa yakulevya -moja kwa moja yuko guilty!.
2. Anategemea favor, influence ya mfumo kumweka huru. .
3. Anasema wazungu wameachiwa mbona wao ndio wamebaki, kwa hiyo anataka aachwe huru waendelee kama watakavyo.
4. Anataja na mateja wengine "Agness".
5. Nimegundua shule ni ufunguo wa maisha.
a) mtu gani mweye elimu yake japo kidogo angesema "tumesikia anataka uwaziri....". Huu si ujuhan sana? Kutaka uwaziri kwa mtu na kushindwa kujitetea kwa mtuhumiwa kuna husiana nini? Kwa hiyo aachwe tu aendelee kuua watu kwa sababu hakuna kiongozi anayeonyesha kujali? Uwaziri wa Makonda utakuja kwa kazi zake, lakini hakuna uzalendo wa mtu utathibitiska kwa kuwaogopa waharifu kwa sababu wana macho ya kutisha.
b). Sijawahi kufikiria mtu katila level hii, anaweza kuwa na akili za kitoto kwamba fulani mbona kaachwa? Akidhani kwamba kwa kuwa mwingine hajakamatwa kwa kuwa ni "mwanamke wa rc na kamjengea nyumba sijui kampangishia nyumba makongo", kutapelekea kumwondolea hatia ya mashitaka.
Nani washauri wa Wema? Mbona mnawamcha anaangamia huku mkiona? Mpeni maarifa na hekima basi japo kidogo. Au na wshauri wake ni wa kiwango cha ngono, kujionyesha na kugombana tu?
Pole kwa Watanzania wote!
Hakujua anafanyikwa kolaboChochote utakachotamka kitatumika kama ushahidi mahakamani....angejua angekaa kimya tu
Kwani huyu Warumi ni ke Au me?! Au yupo katikatiItakuwa alimchukulie bwana yake maana hizi hasira anazionesha dhidi ya Wema siyo za kawaida kabisa
Sikuhizi Uhuru wa kusema chochote imekuwa issue. Wema hajafanya makosa kutumia uhuru wa kuongea jinsi anavyo mfikiria Makonda. Makonda ni binaadam na ana mapungufu kama wengine. Kama kusema anatembea au kumpangia nyumba mwanamke fulani ni kosa. Basi, Tanzania tunaelekea kubaya zaidi katika freedom of speech.
Na hasa, je kuna ushaidi wa kutosha kuwa Wema Sepetu anajiusisha na unga? Au ndiyo mkuu akisema ndiyo ushaidi tayari wasiyo na hatia kutiwa ndani! Je Wema amekutwa na madawa au uonevu tu? Wacha hayo wakina Makonda! Serikali haiendeshwi kwa ubabe, lazima mfwate Sheria na haki, siyo kukulupuka tu.
Mtu anashitakiwa kama amekamatwa na madawa ya kulevya. Kwani Wema amekamatwa na madawa ya kulevya? Makonda hajamkamata Wema na unga! Kama ni hivyo, kwanini Wema yuko chini ya ulinzi?Umejiuliza ni kwanini Wema na sio wewe au mimi? Makonda anajua anachokifanya.