Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

mkuu mi nime angalia you tube baadae nikaenda history nikafuta kabisa you tube history kwenye simu yangu .


Hawakawiii kusema na wale walio angalia kwenye you tube mnakamatwa .

Utii wa sheria bila shuruti

"Ukipokea ujumbe wa matusi futa kabisa ""
Kweli mkuu maana hii nchi noma sana halafu mbona wanamwandama wema tu hao wengine mbona hatusikii?
 
Kweli mkuu maana hii nchi noma sana halafu mbona wanamwandama wema tu hao wengine mbona hatusikii?
Kwel mkuu mm ingawa sio shabiki yake Wema lakini kwa nini wamuandame yeye tu. Jamani tusipende watu wengine waonewe bila kosa.
 
Mdomo kiungo usipokitumia kwa akili kinakuangamiza ustaa juu ya sheria hata kama lkn kumtusi mkuu haikuwa na mantiki
 
ALL AND ALL JK AINGILIE KATI KUTULIZA HUU MZIKI,KWA FIKRA ZANGU HATA KAMA WANAJIHUSISHA HAWA NI SMALL FISH,KAMATENI BIG PAPA..
 
Kazi ya Kumthibitisha yeye ni Mhusika wa Madawa ya kulevya ndio ipo mbele ya Jamii msihamishe tena Magoli

Pia kwny Tuhuma dhidi ya Paulo Na Agness Kazi iliyopo Ni kuthibitisha ile sauti ni ya Wema au imeigizwa na uthibitisho uwe 'Beyond reasonable doubt '

Kama ni kweli ni Sauti ya Wema basi pia ile sauti inayosambaa Kwny video ya Masogange huenda pia ikawa ya Paulo na ikiwa Paulo atasema ile Sauti imeghushiwa basi Inawezekana na ya Wema ni ya kughushi

Kumfikisha Mtu Mahakamani ni Kazi nyepesi Sana, ugumu wake ni kuthibitisha kile ulichomfikishia!
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Kweli mkuu maana hii nchi noma sana halafu mbona wanamwandama wema tu hao wengine mbona hatusikii?
mkuu kifupi hawa wasanii ni makocha , wana team zao humu kwa hiyo subiri waje ([HASHTAG]#teamwema[/HASHTAG] watakujibu)
 
Hii mbona ni rahisi tu, iweje umkamate ambaye huna ushahidi bali hisia tu ukamwacha yule mwenye ushahidi wa wazi? Kwenye suala hili akina wema wameonewa sana.
Ndio uomeona mkuu
 
Mmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.

Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
warumi kwa umbeya hujambo
 
Naona huyu Mwanamke anachanganyikiwa Yaani anajipa kesi Mara Mbili... Analeta Mambo ya Kiswahili kwenye Sheria..

Unajua unaporopoka mbele za Watu jua kuwa umejiamini km Tindu lissu kwanza Ndo uropoke.. hapo Tayari Ana kesi ya Kumtuhumu na kumdharirisha RC makonda na Pia Agnes Masogange.. kama Huna ushahidi Wa Kutosha haki ya nani Kama ulikuwa unaenda samehewa Wa Tuhuma za Madawa basi sahau unaenda kuwa chakula Cha Mafande...

Unaleta Vita na Agnes Aliyebeba Unga Akapita Airport Na Bado Tukaambiwa Si Madawa ya kulevya. unadhan ulivyoropoka RC anatembea Naye Ndo Utapata ushahidi wa kutosha ... Labda Uwe na Video za Kutosha Kwenye Makablasha yako upeleke mahakama...

MAMBO MENGINE HAYATAKI UJUAJI KAA TU KIMYA
HATA KAMA ANATEMBEA NAYE NDIO KUTAFUTA TUHUMA ZAKE......? asimshambulie mtu akifikiri itasaidia zaidi ya kumuangamiza HII NI AWAMU YA TANO ,HII NAMBA TUTAISOMA WOOOTE WALIOPEWA HELA NA KUIPIGIA DEBE CCM , NA WALE WALIOKUWA WAKISHANGAA SHANGAA KUNDI KUBWA LA WASANII KUUKIMBIA UPINZANI.......!!
 
Siku hizi hakuna risi,ukute hakujua kuwa anarekodiwa mdada wa watu.Ila kuna jambo zuri kasema,,kwanini Masogange ambaye alishakamatwa laivu haitwi polisi??
Double standards huondoa moral authority na ndio mwisho wa mapambano!!
 
Kumbe wamekuta bange kwa Wema(Gazeti la mwananchi)?
Nilijua watakuta coccain kumbe bange!!!
 
Back
Top Bottom