am a girl
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 748
- 505
kwenye tangazo wamesema yanarud sangap?Na usishangae hata Meneja wao sasa hivi ' ameunyuti ' tu huku ' akiukodolea ' huu uzi bila hofu yoyote huku akikuna tu Kitambi chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye tangazo wamesema yanarud sangap?Na usishangae hata Meneja wao sasa hivi ' ameunyuti ' tu huku ' akiukodolea ' huu uzi bila hofu yoyote huku akikuna tu Kitambi chake.
hili ni tatizo kubwa kwa wakaz wengi wa kinondoni, maji hakuna na taarifa hakuna sijui tuwaelew vp hawa dawasco
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye tangazo wamesema yanarud sangap?
Hahahaha vumilia tu, maji muhimu sana,
Hawa DAWASCO wanachofanya sio kabisa, utashangaa na Siku ya Leo inapita tena
Beach zitajaa Leo, wengine Msasani Beachau ndiyo maana leo nawaona Watu wengi sana hapa Coco Beach Mkuu au wengi ndiyo wamekuja ' Kuunganisha ' huku huku na wakirudi makwao wanafikia Kulala tu?
Beach zitajaa Leo, wengine Msasani Beach
halafu bado wapo kimya mpaka sasa hivi
Wengine watae
MBONA MBWENI KIJIJINI WATU HAWAJAUNGANISHIWA MAJI LICHA YA KUTUMIA MUDA KARIBU MWAKA MZIMA KUFUATILIA !!! MPAKA INATIA SHAKA ILHALI BOMBA ILIKOISHIA HAIFIKI HATA NUSU KILOMETA!!! JE MNAWASAIDIAJE WAKAZI HAO??????Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
Hahahaa Mkuu umhichekesha kuna Uzi umeanzishwa wa kusaka beach labda unavinasaba na kadhia hiiBeach zitajaa Leo, wengine Msasani Beach
halafu bado wapo kimya mpaka sasa hivi
Wengine watae
Hahahaha inawezekana Hali mbaya, maji toka Jana mpaka muda huu hamnaHahahaa Mkuu umhichekesha kuna Uzi umeanzishwa wa kusaka beach labda unavinasaba na kadhia hii
List ya beach nzuri DSM
Argue don't shout
Nimeona wanamekuja kujibu huku, sisi tunataka maji hebu jiulize chai na maji ya chumviHivi ina maana hizi ' lawama ' zetu hawazioni au?
Kama mteja wa Dawasco ninakerwa na utaratibu mbovu wa huduma kwa wateja Dawasco Kimara.
1. Mafundi aina ya vibarua ambao mmekuwa mkiwatumia kuunganishia maji wateja wapya, hawa watu wanaokuja kwa wateja ni kero, kama mteja tayari nimelipa gharama zote ofisini kwenu, mnamtuma fundi wenu kwangu ( Mteja), Kitu cha kwanza ataomba namba simu ikishampa namba kinachofuata ni kuomba hela ya nauli. Utasikia boss nilipangiwa kuja kukufungia maji lakini sina nauli hivo ningeomba unitumie nauli. Hii ni kwa wale wanaokuja Field.
2. Ofisini Kama mteja nimelipa bili ya maji kupitia benki au Max malipo ninapokuja kuleta risiti ofisini utasikia tena nenda katoe photo copy pale nje. Kumbuka tayari nimelipa na nimekuletea risiti ni jukumu lako kuingiza risiti yangu kwenye system na kunigongea mhuri wa kuonyesha umepokea then mimi niondoke. Kama hiyo haitoshi nimeshaenda kutoa copy nimekuletea na ninaasume kuwa nimemaliza.
Ajabu utaona record hazionyeshi deni kupungua zaidi ya kuongezeka, unapoamua kurudi Dawasco utaulizwa hivi ulileta risiti? Jibu ni ndiyo hapo tena utaambiwa hebu katoe copy ya hizo copy za risiti uniletee, ahaaaa how many times should I do this?
Mimi kazi yangu ilikuwa nikulipa na kukuletea risiti siyo jukumu langu tena kwenda kutoa copy ya risiti.
Kama mteja wa Dawasco ninakerwa na utaratibu mbovu wa huduma kwa wateja Dawasco Kimara.
1. Mafundi aina ya vibarua ambao mmekuwa mkiwatumia kuunganishia maji wateja wapya, hawa watu wanaokuja kwa wateja ni kero, kama mteja tayari nimelipa gharama zote ofisini kwenu, mnamtuma fundi wenu kwangu ( Mteja), Kitu cha kwanza ataomba namba simu ikishampa namba kinachofuata ni kuomba hela ya nauli. Utasikia boss nilipangiwa kuja kukufungia maji lakini sina nauli hivo ningeomba unitumie nauli. Hii ni kwa wale wanaokuja Field.
2. Ofisini Kama mteja nimelipa bili ya maji kupitia benki au Max malipo ninapokuja kuleta risiti ofisini utasikia tena nenda katoe photo copy pale nje. Kumbuka tayari nimelipa na nimekuletea risiti ni jukumu lako kuingiza risiti yangu kwenye system na kunigongea mhuri wa kuonyesha umepokea then mimi niondoke. Kama hiyo haitoshi nimeshaenda kutoa copy nimekuletea na ninaasume kuwa nimemaliza.
Ajabu utaona record hazionyeshi deni kupungua zaidi ya kuongezeka, unapoamua kurudi Dawasco utaulizwa hivi ulileta risiti? Jibu ni ndiyo hapo tena utaambiwa hebu katoe copy ya hizo copy za risiti uniletee, ahaaaa how many times should I do this?
Mimi kazi yangu ilikuwa nikulipa na kukuletea risiti siyo jukumu langu tena kwenda kutoa copy ya risiti.
Maeneo mapya wakati haya maeneo ya zamani maji hayatoki? Ule mradi mkubwa wa maji umeishia wapi maana tuliambiwa maji ni mengi ya kupasua mabomba lakini mitaani maji bado ni tatizo kuna maeneo maji yanatoka Mara moja kwa wiki.Je kwa nini DAWASCO hailengi kuongeza wateja wapya na badala yake inahangaika na wale wale wa siku zote? Hamuoni kuwa kuna fedha nyingi mnaziacha kwa potential customers ambao wanashindwa kupata huduma zenu kwa vile tu hamuendi kwa wananchi?
Fikiria maeneo kama Mbagala Gongolamboto, Kigamboni nk sidhani kama mmeyafikia maeneo hayo