DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

Uku kwetu tuna wiki hakuna maji, raia tukajua pump imezingua, kufatilia tunaambiwa luku imeisha,
 
Habari, Changamoto yangu kuambiwa nadaiwa wakati Sina Deni nilishaenda boko zaidi ya Mara 3 wameniambia kweli Sina na watafuta cha ajabu toka 2016 wamenipuuza mpaka leo[emoji19] account namba 90117630 hakuna kitu kinachonikera kuambiwa Deni lako ni 75000 wakati sidaiwi na mita imeingia ukungu namba hazisomeki nashangaa sijui wanasoma vipi na Nina wasiwasi hua wanakadiria tu kunipa bili.
 
Hivi mmeamua kutufungulia maji usiku alafu kidogo sisi wakazi wa Kimara mwisho na mbezi?
 
Njooni Mbopo mtoe mabomba na mita zenu. Mnaweka halafu maji hakuna? Kutwa kutuhimiza tulipe bila kuona hats huduma yenyewe.

Tuko tunajichanga tulete mwandishi was habari ili hii habari iende duniani. Eng na team yako kwenye vikao mkichanwa live kuwa ni mradi was porojo unakuwa mkali. Tazama ulisema nini na kinatokea nini?

Aubirini mtashuhudia kwenye Medea na wachina wenu kutwa kuzunguka kwenye mitaa ya mbopo huduma hakuna. Tutawafurahisha soon
 
jamani ingawa kuna watu hawapendi kulinganisha tawala
ukweli unaonekana

sasa hivi wanakata mtaani bila hata taarifa na mnaweza kukaa wiki na zaidi

halafu yanakuja kutoka usiku saa tano

Mama yenu ana kazi ya ziada
Hahahahaaaa!!!
 
Njooni Mbopo mtoe mabomba na mita zenu. Mnaweka halafu maji hakuna? Kutwa kutuhimiza tulipe bila kuona hats huduma yenyewe. Tuko tunajichanga tulete mwandishi was habari ili hii habari iende duniani. Eng na team yako kwenye vikao mkichanwa live kuwa ni mradi was porojo unakuwa mkali. Tazama ulisema nini na kinatokea nini? Aubirini mtashuhudia kwenye Medea na wachina wenu kutwa kuzunguka kwenye mitaa ya mbopo huduma hakuna. Tutawafurahisha soon
Tunarudi tulikotoka. Hii nchi ni ya ajabu sana. Nchi nyengine zinapambana kwenda mbele sisi tunapambana kurudi nyuma.
 
Tunarudi tulikotoka. Hii nchi ni ya ajabu sana. Nchi nyengine zinapambana kwenda mbele sisi tunapambana kurudi nyuma.
Nadhani Ni wakati muafaka Luhemeja angepumzishwa.
Alifanya kazi nzuri lakini amemaliza ubunifu wake. Amechoka kwa kweli.
 
Eti ndg afisa habari wa DAWASA, taasisi yenu inatoa huduma kama kuwaunganisha, kuwakatia, kudai bill za maji nk, mna kauli yenu tone la maji... 'sijui ni nini'.

Swali, maji gani mnayohusika nayo;
1. Yaliyopo mbele ya baada ya mita ya mteja au?.
2. Kwa nini hampendi kusima mita mteja akiwepo ili ajiridhishe?
 
Hivi hawa wanatuonaje watu wa humu?

 Wanatuona as if ni watoto wadogo maana heading inasema “TOA MAONI,USHAURI MALALAMIKO” watu wanapoteza muda wao kuandika humu ila hawajibiwi kama wameeleweka ama vipi!

Mods toeni huu uzi hauna manufaa yoyote.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani.

DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.

Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.

Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)

DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866

Poleni na majukumu. Nasikitika kuwafahamisha kwamba wakazi wa Kibaha (Mgongelwa) Tanita hatuna maji leo ni siku ya kumi. Nimejaribu njia nyingi za mawasiliano (sijaendo ofisini kwenu) zimefeli.

Aidha simu hazipatikani au zinaita bila ya kupokelewa. Hali ni mbaya na inaelekea kuwa mbaya zaidi. Tupeni mwelekeo au tumgeukie nani tupate ufumbuzi.
 
Hali ni hivyo Mbezi ya Kimara, mtaa wa Mshikamano, Kwamgalula B. Karibia wiki 2 hakuna maji pamoja na mgao uliopo lakini tumesahaulika. Eneo liko chini ya DAWASA KIBAMBA, DSM
 
Hali ni hivyo Mbezi ya Kimara, mtaa wa Mshikamano, Kwamgalula B. Karibia wiki 2 hakuna maji pamoja na mgao uliopo lakini tumesahaulika. Eneo liko chini ya DAWASA KIBAMBA, DSM

Hali ni hivyo Mbezi ya Kimara, mtaa wa Mshikamano, Kwamgalula B. Karibia wiki 2 hakuna maji pamoja na mgao uliopo lakini tumesahaulika. Eneo liko chini ya DAWASA KIBAMBA, DSM

Hali ni hivyo Mbezi ya Kimara, mtaa wa Mshikamano, Kwamgalula B. Karibia wiki 2 hakuna maji pamoja na mgao uliopo lakini tumesahaulika. Eneo liko chini ya DAWASA KIBAMBA, DSM
Tunashukuru kuwa baada ya kukosa maji katika eneo hili la Kwamgalula kwa zaidi ya wiki mbili, angalau siku za jumanne na jumatano tarehe 6 na 7 Septemba tulikumbukwa kwa kupatiwa maji ya mgao.

Tunawaomba DAWASA, KIBAMBA mzingatie taratibu zenu nzuri za kuhakikisha wateja na wananchi kwa ujumla hawaathiriki sana kwa kukosa huduma kwa kipindi kirefu.
 
Maji hayatoki Kwembe Kona ya Samaki wiki limeisha hata tone tu la maji hakuna na hamjatoa taarifa yeyote
 
Tunashukuru kuwa baada ya kukosa maji katika eneo hili la Kwamgalula kwa zaidi ya wiki mbili, angalau siku za jumanne na jumatano tarehe 6 na 7 Septemba tulikumbukwa kwa kupatiwa maji ya mgao. Tunawaomba DAWASA, KIBAMBA mzingatie taratibu zenu nzuri za kuhakikisha wateja na wananchi kwa ujumla hawaathiriki sana kwa kukosa huduma kwa kipindi kirefu.
Huku kwetu maji hayatoki kabisa hongera kwenu ambako yameanza kutoka
 
Hapa ninapoishi tuna miezi mitano sasa bill ya maji haiji😂😂😂 haya acha nitumie tu me si mpangaji bili ikija mi nikiwa nimeshahama atalipa atakaekuwepo.
 
𝐇𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐃𝐀𝐖𝐀𝐒𝐀 𝐌𝐢𝐭𝐚 𝐲𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐢𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐡𝐮𝐮 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐰𝐚 2 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐫𝐢𝐩𝐨𝐫𝐭 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐚𝐦𝐛𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐢𝐭𝐚𝐛𝐚𝐝𝐢𝐥𝐢𝐬𝐡𝐢𝐰𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚 𝐥𝐚𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐥𝐞𝐨 𝐛𝐚𝐝𝐨.𝐒𝐰𝐚𝐥𝐢 𝐦𝐧𝐚𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐭𝐚𝐦𝐛𝐨 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐬𝐨𝐦𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚 𝐳𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐮𝐤𝐮𝐧𝐠𝐮? 𝐬𝐢𝐧𝐚 𝐢𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐛𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢𝐧𝐚𝐳𝐨𝐥𝐞𝐭𝐞𝐰𝐚 𝐧𝐚𝐡𝐢𝐬𝐢 𝐧𝐚𝐤𝐚𝐝𝐢𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐭𝐮 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚 𝐡𝐚𝐢𝐨𝐧𝐲𝐞𝐬𝐡𝐢 𝐧𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐡𝐚𝐭𝐚 𝐤𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom