Naposema mto umepita Msewe simaanishi mto upo msew Bali umepita Msewe elewa hilo, huu mto bila shaka umepita maeneo mengi kuanzia Kimara huko, njoo maeneo ya Golani mpaka huku Msewe, hii inamaana maeneo hayo yaliyopitiwa na MTO huo hutililisha maji ya bomba zenu season zote,
Hapa sio ishu ya msewe pekee ni mjumuiko wa maeneo Mengi ambayo inaonekana Miundo mbinu yenu imeharibika na hamfanyi survey za kutosha kujua ama kupewa info na wananchi wanaozunguka miundombinu yenu.
Mi Naku alert tuu, we jalibu kufanya huo utafiti, najua dar hamna mto wenye annually flow of water lkn utashaangaa huu mto hutoa wapi maji kipindi cha Kiangazi ! Jibu nishakupa ,fanyieni kazi.