DAWASA yatangaza mgao wa maji Dar es Salaam

DAWASA yatangaza mgao wa maji Dar es Salaam

Dawasa imetangaza kuanza mgai wa maji jijini Dar es salaam kutokana na kupungua kwa maji katika vyanzo vyake.

Mtendaji mkuu wa Dawasa amesema mgao huo utakuwa unafanyika ndani ya saa 24 tu kwamba wananchi watapata maji kila siku lakini kwa saa chache siyo siku nzima kama ilivyo sasa.

Source: ITV habari
Waambieni kwamba walete tu maana hata mgaeo wa bando tushauzoea
 
Halafu hii kasumba ya kutotaka SHH awe accountable kwa madudu yanayoendelea kwenywe serikali yake ni wa ajabu sana.

Kila kilitumwa kitu, "ooh Samia hajui hili kuna watu ndo wanafanya"

"Oooh SHH hamkutaka Mbowe akamatwe, kuna watu ndo wamefanya mpango"

"Oooh kuna sukima gang[emoji16]"

Hivi inamaana SHH yupo pale kama bosheni? Ni ipi nafasi yake kama Rais,ikiwa kila kitu yeye hahusiki nacho?

NB; UKICHUNGUZA SANA KUHUSU HII TABIA,utagundua ni kujipendekeza tu, kama anakosea wacha awe accountable, maana hata kukimbia hao wanaomkwamisha bado ni ishara ya uzembe.
Kweli mkuuu umeongea points sana
 
Halafu hii kasumba ya kutotaka SHH awe accountable kwa madudu yanayoendelea kwenywe serikali yake ni wa ajabu sana.

Kila kilitumwa kitu, "ooh Samia hajui hili kuna watu ndo wanafanya"

"Oooh SHH hamkutaka Mbowe akamatwe, kuna watu ndo wamefanya mpango"

"Oooh kuna sukima gang[emoji16]"

Hivi inamaana SHH yupo pale kama bosheni? Ni ipi nafasi yake kama Rais,ikiwa kila kitu yeye hahusiki nacho?

NB; UKICHUNGUZA SANA KUHUSU HII TABIA,utagundua ni kujipendekeza tu, kama anakosea wacha awe accountable, maana hata kukimbia hao wanaomkwamisha bado ni ishara ya uzembe.
Samia anatetewa sana cjui ni mwanamke?
 
Aya bwana pohamba, ccm wanajua wananchi Hawana uwezo wa kukuwajibisha, wanafanya wanavyotaka

sisi ambao hatutaki kulalamika bila kuchukua hatua, tunapaza sauti kudai katiba mpya ambayo watawala wakileta zao wananchi watawawajibisha

we BADO unategemea huruma busara na hekinma ya watawala.

akitokea mtawala kama yule kichaaa mwendakuzimu ni maumivu na kilio tu
Unaizungumzia hii nchi au?
 
Wananchi gani wa kuwawajibisha Viongozi?

Hawa Wavaa vijora bila ya chupi?
Aya bwana pohamba, ccm wanajua wananchi Hawana uwezo wa kukuwajibisha, wanafanya wanavyotaka

sisi ambao hatutaki kulalamika bila kuchukua hatua, tunapaza sauti kudai katiba mpya ambayo watawala wakileta zao wananchi watawawajibisha

we BADO unategemea huruma busara na hekinma ya watawala.

akitokea mtawala kama yule kichaaa mwendakuzimu ni maumivu na kilio tu
 
Na umeme ukatwe, unatumiaga maji mengi...kama nawaona wakazi wa Dar mkipambana na hali yenu🤣
20211108_214918.jpg
 
Samia anatetewa sana cjui ni mwanamke?
Kuna watu wapuuzi sana, yani kila baya linalotokea wana-assume kama bila SHH hahusiki nalo.Hivi inakuwaje unakuwa Rais alafu mambo fulani yatokee bila ridhaa yake na bado akae kimya?

Kwamfano, kuna watu mpaka leo wanaamini eti Mbowe yupo pale kwasababu ya Sirro eti mama (wanavyomuita) hafurahishwi na hiyo kesi, Who is Sirro?? Aiseeeh, huu unafiki huwa unanishangaza sana.

Swala la tozo eti SHH hajui, Mwigulu ndo amelazimisha😁

Vifurushi kupanda SHH hajui, kuna watu ndo wanamkwamisha😁.

Mgao wa maji SSH hajui,Aweso ndo anamkwamisha sasa sijui hapo nyuma ambapo hakukuwa na mgao kulikuwa waziri mwingine tofauti na Aweso?

Swala la mitambo ya umeme kusumbua, SHH anakwamishwa.

Hii miaka minne haitakuwa ya kawaida, huu ni mwezi wa
 
Na nyie huko mijini muonje maisha tunayoishi huku vijijini. Tunaishi nchi moja, kodi tunalipa wote, lakini maendeleo yote yanapelekwa mijini tu huku vijijini tunasahaulika. Ngoja muonje machungu tunayopitia huku mdongo poromoka ili tunapolalamika muelewe, na labda mtusaidie kulalamika.
 
Kuna watu wapuuzi sana, yani kila baya linalotokea wana-assume kama bila SHH hahusiki nalo.Hivi inakuwaje unakuwa Rais alafu mambo fulani yatokee bila ridhaa yake na bado akae kimya?

Kwamfano, kuna watu mpaka leo wanaamini eti Mbowe yupo pale kwasababu ya Sirro eti mama (wanavyomuita) hafurahishwi na hiyo kesi, Who is Sirro?? Aiseeeh, huu unafiki huwa unanishangaza sana.

Swala la tozo eti SHH hajui, Mwigulu ndo amelazimisha😁

Vifurushi kupanda SHH hajui, kuna watu ndo wanamkwamisha😁.

Mgao wa maji SSH hajui,Aweso ndo anamkwamisha sasa sijui hapo nyuma ambapo hakukuwa na mgao kulikuwa waziri mwingine tofauti na Aweso?

Swala la mitambo ya umeme kusumbua, SHH anakwamishwa.

Hii miaka minne haitakuwa ya kawaida, huu ni mwezi wa
Alafu utawaskia ssh ametoa bil 2 za madarasa
 
Kuna watu wapuuzi sana, yani kila baya linalotokea wana-assume kama bila SHH hahusiki nalo.Hivi inakuwaje unakuwa Rais alafu mambo fulani yatokee bila ridhaa yake na bado akae kimya?

Kwamfano, kuna watu mpaka leo wanaamini eti Mbowe yupo pale kwasababu ya Sirro eti mama (wanavyomuita) hafurahishwi na hiyo kesi, Who is Sirro?? Aiseeeh, huu unafiki huwa unanishangaza sana.

Swala la tozo eti SHH hajui, Mwigulu ndo amelazimisha[emoji16]

Vifurushi kupanda SHH hajui, kuna watu ndo wanamkwamisha[emoji16].

Mgao wa maji SSH hajui,Aweso ndo anamkwamisha sasa sijui hapo nyuma ambapo hakukuwa na mgao kulikuwa waziri mwingine tofauti na Aweso?

Swala la mitambo ya umeme kusumbua, SHH anakwamishwa.

Hii miaka minne haitakuwa ya kawaida, huu ni mwezi wa
Mkuuu ni watu wanaopend kujipendekeza
Yote ulioyoyasema SSH Anajua kila kitu mifumuko ya bei yote anajua ni mjinga tu ndio anaejua kuwa SSH Hajui
Ngoja tuone maaana nafikiri kodi ya baiskel inarudi ss mpka leo TRA WAMEPOZ TU SI WANAJUA PESA ZA UVIKO ZIPO HAHA kweli bongo lala
 
Mkuuu ni watu wanaopend kujipendekeza
Yote ulioyoyasema SSH Anajua kila kitu mifumuko ya bei yote anajua ni mjinga tu ndio anaejua kuwa SSH Hajui
Ngoja tuone maaana nafikiri kodi ya baiskel inarudi ss mpka leo TRA WAMEPOZ TU SI WANAJUA PESA ZA UVIKO ZIPO HAHA kweli bongo lala
Ili ilete mantiki, wanatakiwa waseme kuwa yeye hana uwezo wa kuongoza hii nchii, kwahiyo hayo tunayoyaona ni matokeo ya maamzi ya watu wengine aliowakabidhi majukumu, hoja ambayo kidogo inaweza kuleta mantiki maana hangaya hajawahi kumaliza hata wiki bila safari.

Mtu apige safari miezi sita non-stop alafu tutegemee nini sasa.
 
Dawasa imetangaza kuanza mgai wa maji jijini Dar es salaam kutokana na kupungua kwa maji katika vyanzo vyake.

Mtendaji mkuu wa Dawasa amesema mgao huo utakuwa unafanyika ndani ya saa 24 tu kwamba wananchi watapata maji kila siku lakini kwa saa chache siyo siku nzima kama ilivyo sasa.

Source: ITV habari
Duuh..
Mi-5 tena!
 
Ya Mwezi wa Kwanza yametimia ndani ya siku chache yaani.

TMA wametoa tamko kuwa joto limeongezeka na mvua zimeadimika.

DAWASA wakasema mgao kwakuwa maji hamna, mvua adimu.

Tusibiri watakaotuambia Mtera, Kidatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu kina kimepungua, tunaleta wa dharula, SYMBION ndani, Aggreko warudi, IPTL hao(si singasinga na Ruge wako mtaani)

Ajabu ukienda waji, ruvu, rufiji maji yanatiririka tu, miaka 5 mfululizo hakukuwa na haya matatizo, UTAWASIKIA sasa WASOMI wetu wakitutukana, eti wao wameelewa sana kuwa TABIA NCHI sijui nini na nini!
 
Back
Top Bottom