DAWASA yatangaza mgao wa maji Dar es Salaam

DAWASA yatangaza mgao wa maji Dar es Salaam

Dawasa imetangaza kuanza mgai wa maji jijini Dar es salaam kutokana na kupungua kwa maji katika vyanzo vyake.

Mtendaji mkuu wa Dawasa amesema mgao huo utakuwa unafanyika ndani ya saa 24 tu kwamba wananchi watapata maji kila siku lakini kwa saa chache siyo siku nzima kama ilivyo sasa.

Chanzo: ITV habari
Umeme wa mgao, Maji nayo mgao ashukuriwe Mungu, pumzi sio ya mgao ametupa bure
 
Dodoma nako suala la maji hali ni tete, sijajua kama ni Mji mzima ila mtaa ninakoishi mambo si mambo.
 
Huyu Black belts ni mpuuzi tu, mimi namambia mchele umepanda bei yeye analeta habari za eti mchele umeshuka sana tangu SSH aingie madarakani.

Aliposema kwamba juzi alinunua 50Kg za mchele kwa 60000 tsh, nikajua kabisa kuwa yeye ni "kula-kulala" kwa shemejiye ,maana kama angekuwa anahudumia familia asingeongea upumbavu huo.
We pimbi, mi nna duka la mchele pale bunju karibu na stendi ya kwenda kawe, na kawe pia ukwamani nna duka la mchele kenge wewe,

Hizo Bei nnazokwambia ndio tunazouza,
Tangu aingie Samia Bei za nafaka zimeshuka Sana tu,labda uniambie kwenye mafuta ya kupikia,na mafuta ya kupikia magufuli ndio alichangia yakapanda Bei pamoja na sukari
 
Hahahaaaa.......mchele kilo 50 sh 60,000?

Huo ni mchele wa wachoma vitumbua fullstop.
Dada mchele upo Bei kuanzia Tsh. 1200/=, 1300,1500, etc,

Na yote hiyo mizuri tu dada, Kama unataka chenga upikie vitumbua nitafute watakupa bure tu vijana wangu
 
Uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana halafu hata katika bible ililazimu watu wauawe na Mungu aliruhusu, mfalme Daudi aliua sana tuu na ndie tunaambiwa ni Mtu wa moyoni mwa Mungu, mtu anatoa taarifa nyeti za nchi na kuwapa maadui kwanini asiuawe
Msaliti yeyote hawezi ruhusiwa akaishi! Kuna madhara makubwa mno kukumbatia wanafiki na wasaliti katika nchi!
 
Dada mchele upo Bei kuanzia Tsh. 1200/=, 1300,1500, etc,

Na yote hiyo mizuri tu dada, Kama unataka chenga upikie vitumbua nitafute watakupa bure tu vijana wangu
Hizo ni kande mkuu..sio wali.
 
Haya majina ni ya sehemu ktk nchi hii😄😄😄
Sijawah kuyasikia popote pale
Tembea ujionee vijiji

Kijiji cha Mbugema kipo Songwe
Chigugu ipo Masasi, Mtwara
Njengwa ipo Nanyamba, Mtwara
Kinyatu ipo Mkinga, Tanga
kipumbwi ipo Pangani, Tanga
 
Ziwa Victoria, ziwa Tanganyika, ziwa Malawi, Mbeya, Arusha, Morogoro kuna mabonde makubwa mengine yanaitwa ziwa flani.

Haya mito sasa ndhani kila mkoa una mto flani.

Hivi nchi kama hiyo ndiyo serikali inakuja kumtangazia raia wake mwema na anaye kamuliwa kodi kuwa utakosa huduma ya maji kwa masaa kadhaa?.

Hey Mrs. President are you serious!
 
Miezi michache iliyopita kulikua na mafuriko mitaa mingi ya Daslm leo hii mnatangaziwa mgao wa maji..
 
Mbona kama hakuna mgao? Kuna maeneo hayapati maji kabisa ingawa mlitoa ratiba ya mgao, kina Dawasa?
 
Tabia nchi!
Tabia nchi!

Kwenye majangwa huko Uarabuni zisikonyeshaga mvua ushasikia kuna mgao wa maji kwa wananchi wake?

Wameshindwaje kugharamia miradi mikubwa ya kuvuta maji toka vyanzo vya uhakika kokote yaliko ndani ya Tz na kuyapeleka Dar kwenye population kubwa na uhitaji wake kuwa mkubwa pia?

Wameshindwaje kujenga Dam kuukinga huo mto Ruvu ili kupata reserve ya maji ya kutosha kutumia wakati kama huu, kuliko kuendelea na ujima wa kukinga maji yanayotiririka?

Ni maswali mengi mno ya kimkakati unayoweza mtu ukajiuliza, lakini usisikie kiongozi yeyote, awe Rais, Waziri ama Mbunge akiongea ama kujadili hayo!

"Visima" sasa imekuwa ndiyo ngonjera zao!

Hii teknolojia ya visima, ina changamoto lukuki, kuanzia gharama za uendeshaji na pia ukame ukizidi kutamalaki, maji aridhini hupungua pia ama hukata kabisa.

Na vitendo vya kuwaweka majenerali wastaafu wa jeshi kwenye ukurugenzi wa bodi zenye migogoro ya namna hii ni kuwadhalilisha kwa umma ambao unawapatia shime iliyotukuka kwa historia ya utumishi wao wa jeshi usiokuwa na doa wala mawaa.
 
Akina bhakhresa na maji yao ya uhai wanatoa wapi mbona maji yao hayajawahi hadimika na bei ni ileile?
Process za kutengeneza maji ya chupa hauifahamu mkuu?

Hao hawawezi ishiwa, wenziyo wanaweza chota popote wakayatibu na kuyavukiza.

Baada ya hapo "ingredients" huwekwa na kusukumiwa wewe "mlaji".
 
Afrika ni bara lenye wasomi wengi wapumbavu sana .
Wasomi walevi TU wanaokesha kwenye mabaa .
Wasomi makahaba na Wazinzi wanapokutana kwenye semina na makongamano wanawaza ulevi na uzinzi.
Wasomi wanaowaza Madili na mbinu za kufuja fedha za umma.
Wasomi wasiowaza kuondoa matatizo yaliyoko kwenye jamii Bali kuyatumia kama Fursa ya Kupiga pesa za umma.

Hivi pale Ruvu ni sehemu kweli ya kukosa maji ya kuwapeleka wananchi maji.?Nini MAANA ya Teknolojia kama Bado tutatumia mbinu na mitambo Ile Ile ya mkoloni kuvuna Maji na kuyatibu Kisha kuwapelekea wananchi. Mitambo tangu enzi ya Mwalimu mpaka Leo kiwango ni kile kile.

Ukipitia Bagamoyo maji yanatokea Ruvu Kwa mamilioni ya Lita yanakwenda kumwagikia baharini halafu kilomita Kama 30 nyuma unaambiwa hakuna maji ya kupeleka kwenye mitambo.
Hayo maji mnayaacha yaende baharini kufanya Nini wakati Kuna ukame au mnaogopa bahati itakauka?

Hivi hata kuyazuia yote yaende kiwandani nayo ni mpaka aje mchina?
Ok ,basi wakabidhini wachina hiyo miradi ya maji na umeme kama Kuna tone la maji litapotea.

Hivi mnataka Mungu au mzungu aje Tena Afrika kuondoa changamoto zetu .?Miaka 60 ya uhuru Bado tuna viongozi wanaodanganywa wakadanganyika.

Ukifika kwenye Afya ni hivyo hivyo mamilioni ya dawa zinaishia kwenye magospitali na maduka binafsi ya dawa . Hospitalini hakuna lakini kila mwaka bajeti ya Afya inaongezeka. Inaongezeka kwenye nini wakati Matibabu Sasa yamekua ni biashara. ? Kwa Nini huduma ni duni sana Kwa umma lakini binafsi wezi wananufaika Kwa bajeti ya Kodi za wanyonge na rasilimali za umma?

Ukienda kwenye Shirika la nyumba na Wizara yake ni hovyo kabisa . Wananchi wanahaha na kuwa watumwa wa kupanga nyumba zisizo na ubora Wala miundo mbinu mizuri Kwa Kodi kubwa inayoongezeka bila udhibiti ! Kwa ujuha mkubwa wabunge na serikali wanawaza kuchukua Kodi Kwa wapangaji Tena badala ya kudhibiti soko holela la nyumba Kwa kujenga nyumba Kwa ajili ya watu wa Chini, SIO majumba ya Mawaziri,makatibu, wabunge , mabalozi, Wakurugenzi,majaji n.k. watu Wenye vipato vikubwa Lakini eti Mchechu ndio anakimbilia Tenda za serikali kujenga majumba ya Serikali . Kodi wanazochukukua Kwa wahindi Kule mijini zinaishia mifumoni Kwao. Watanzania Hawana nyumba za kupanga Kwa Bei nafuu lakini wahindi wanapanga Kwa Bei Sawa na Bure.

Wanasema Kila MTU apambane ajenge nyumba. Watu Wa ajabu sana. Watu mil. 61 na moja wakiachwa kujenga na Kila mmoja amiliki kijumba chake hiyo misitu itatoka wapi . Hiyo hifadhi itakua wapi? Open space zitakuwa wapi? Mashamba yatakua wapi? Kila Mahali patakua ni makazi. Dunia yenye Maendeleo ya uhakika ni Lazima pawe na makazi Bora . Ujenzi uwe planed Kwa kujenga maghorofa Ili makazi yasitanuke sana na kumaliza Matumizi mengine ya Ardhi.


Ukienda kwenye Elimu ni hivyo hivyo . Shule binafsi ni za wale wale na hazina chombo Cha kudhibiti na kuangalia huduma na ubora wake kulingana na ongezeko la ada na michango kila muhula.

Falme za Kiarabu ni watu kama sisi tofauti ni kuamua kwao kuwatumikia wananchi maskini.
Waarabu hao wanaotokana na Koo za kifalme wamejitolea kuondoa kabisa Changamoto zinazowagusa watu wa chini kwenye mahitaji ya msingi ya binadamu.

Serikali kazi yake ndio hiyo bila kuangalia Mambo ya kisiasa tuu na utawala tuu. Ndio maana ya Mungu kuumba watu na kuwapa akili na rasilimali za asili. Zitumike kuhakikisha watu wanapata chakula na maji, nguo na makazi Bora.

Hivi Kwa maisha ya Kitanzania Janyuali na Lizi one ni watu wanaowaza njaa ya kuwaibia au kuiba Mali za umma na kukwepa Kodi. ?
Hivi Hawana hata chembe ya huruma ya kuwaza kuondoa kabisa Changamoto zinazogusa Mahitaji ya msingi ya binadamu.?

Kila idara ni uovu mtupu. Serikali ipo imewaachia wezi wakwapue kila wanachokiona mbele ya kamba zao . Na wengine Sasa hawana hata kamba Wanakwenda kula kulingana na wanachokiona mbele yao.
Shame on you wasomi mlioumbuliwa na Wavuvi Darasa la Saba Kule Bukoba , kuwa uzalendo sio vyeti na majengo na viyoyozi na Magari makubwa ya anasa Bali ni Moyo na utayari Wa kuwapigania wananchi.
Hata Nigeria Kwa muda mrefu wanajeshi walisumbuliwa sana na Boko HARAMU Kwa Sababu walijichanganya kuwa jeshi linahitaji wasomi Pekee. KUMBE wasomi hawapo tayari kufa na kuacha starehe zao za kimtandao .

Wasomi na Wanasiasa wasipodhibitiwa wanageuka kuwa wezi na waiga dili tu nawajanja Wajanja maana wengi ni marafiki waliosoma pamoja na kuishi pamoja.
Leo Kila Mahali ni makongamano tu na semina . Sasa hiyo hela ya semina Kwa nini isiende kwenye ahicho kinachojadiliwa moja Kwa Moja.
Watu hawataki Katiba mpya Lakini Mapesa lukuki yanakwenda kujadili eti iwepo Katiba mpya Lini ? Wanajua ni Lazima ije Sasa si Bora tu kusema pesa ziende kwenye Maendeleo basi na SIO kutumia pesa nyingi kuahirisha Jambo ambalo lingewezeka kuahirishwa Kwa tamko moja tu basi.

Ni Lazima watokee Viongozi wasio na masihara Wala mitandao na urafiki . Viongozi wasiovumilia uhalifu Hata kama ni Ndugu .

Tumuombe Mungu atuondolee viongozi wasio na maono mema Kwa Taifa hili.
 
Afrika ni bara lenye wasomi wengi wapumbavu sana .
Wasomi walevi TU wanaokesha kwenye mabaa .
Wasomi makahaba na Wazinzi wanapokutana kwenye semina na makongamano wanawaza ulevi na uzinzi.
Wasomi wanaowaza Madili na mbinu za kufuja fedha za umma.
Wasomi wasiowaza kuondoa matatizo yaliyoko kwenye jamii Bali kuyatumia kama Fursa ya Kupiga pesa za umma.

Hivi pale Ruvu ni sehemu kweli ya kukosa maji ya kuwapeleka wananchi maji.?Nini MAANA ya Teknolojia kama Bado tutatumia mbinu na mitambo Ile Ile ya mkoloni kuvuna Maji na kuyatibu Kisha kuwapelekea wananchi. Mitambo tangu enzi ya Mwalimu mpaka Leo kiwango ni kile kile.

Ukipitia Bagamoyo maji yanatokea Ruvu Kwa mamilioni ya Lita yanakwenda kumwagikia baharini halafu kilomita Kama 30 nyuma unaambiwa hakuna maji ya kupeleka kwenye mitambo.
Hayo maji mnayaacha yaende baharini kufanya Nini wakati Kuna ukame au mnaogopa bahati itakauka?

Hivi hata kuyazuia yote yaende kiwandani nayo ni mpaka aje mchina?
Ok ,basi wakabidhini wachina hiyo miradi ya maji na umeme kama Kuna tone la maji litapotea.

Hivi mnataka Mungu au mzungu aje Tena Afrika kuondoa changamoto zetu .?Miaka 60 ya uhuru Bado tuna viongozi wanaodanganywa wakadanganyika.

Ukifika kwenye Afya ni hivyo hivyo mamilioni ya dawa zinaishia kwenye magospitali na maduka binafsi ya dawa . Hospitalini hakuna lakini kila mwaka bajeti ya Afya inaongezeka. Inaongezeka kwenye nini wakati Matibabu Sasa yamekua ni biashara. ? Kwa Nini huduma ni duni sana Kwa umma lakini binafsi wezi wananufaika Kwa bajeti ya Kodi za wanyonge na rasilimali za umma?

Ukienda kwenye Shirika la nyumba na Wizara yake ni hovyo kabisa . Wananchi wanahaha na kuwa watumwa wa kupanga nyumba zisizo na ubora Wala miundo mbinu mizuri Kwa Kodi kubwa inayoongezeka bila udhibiti ! Kwa ujuha mkubwa wabunge na serikali wanawaza kuchukua Kodi Kwa wapangaji Tena badala ya kudhibiti soko holela la nyumba Kwa kujenga nyumba Kwa ajili ya watu wa Chini, SIO majumba ya Mawaziri,makatibu, wabunge , mabalozi, Wakurugenzi,majaji n.k. watu Wenye vipato vikubwa Lakini eti Mchechu ndio anakimbilia Tenda za serikali kujenga majumba ya Serikali . Kodi wanazochukukua Kwa wahindi Kule mijini zinaishia mifumoni Kwao. Watanzania Hawana nyumba za kupanga Kwa Bei nafuu lakini wahindi wanapanga Kwa Bei Sawa na Bure.

Wanasema Kila MTU apambane ajenge nyumba. Watu Wa ajabu sana. Watu mil. 61 na moja wakiachwa kujenga na Kila mmoja amiliki kijumba chake hiyo misitu itatoka wapi . Hiyo hifadhi itakua wapi? Open space zitakuwa wapi? Mashamba yatakua wapi? Kila Mahali patakua ni makazi. Dunia yenye Maendeleo ya uhakika ni Lazima pawe na makazi Bora . Ujenzi uwe planed Kwa kujenga maghorofa Ili makazi yasitanuke sana na kumaliza Matumizi mengine ya Ardhi.


Ukienda kwenye Elimu ni hivyo hivyo . Shule binafsi ni za wale wale na hazina chombo Cha kudhibiti na kuangalia huduma na ubora wake kulingana na ongezeko la ada na michango kila muhula.

Falme za Kiarabu ni watu kama sisi tofauti ni kuamua kwao kuwatumikia wananchi maskini.
Waarabu hao wanaotokana na Koo za kifalme wamejitolea kuondoa kabisa Changamoto zinazowagusa watu wa chini kwenye mahitaji ya msingi ya binadamu.

Serikali kazi yake ndio hiyo bila kuangalia Mambo ya kisiasa tuu na utawala tuu. Ndio maana ya Mungu kuumba watu na kuwapa akili na rasilimali za asili. Zitumike kuhakikisha watu wanapata chakula na maji, nguo na makazi Bora.

Hivi Kwa maisha ya Kitanzania Janyuali na Lizi one ni watu wanaowaza njaa ya kuwaibia au kuiba Mali za umma na kukwepa Kodi. ?
Hivi Hawana hata chembe ya huruma ya kuwaza kuondoa kabisa Changamoto zinazogusa Mahitaji ya msingi ya binadamu.?

Kila idara ni uovu mtupu. Serikali ipo imewaachia wezi wakwapue kila wanachokiona mbele ya kamba zao . Na wengine Sasa hawana hata kamba Wanakwenda kula kulingana na wanachokiona mbele yao.
Shame on you wasomi mlioumbuliwa na Wavuvi Darasa la Saba Kule Bukoba , kuwa uzalendo sio vyeti na majengo na viyoyozi na Magari makubwa ya anasa Bali ni Moyo na utayari Wa kuwapigania wananchi.
Hata Nigeria Kwa muda mrefu wanajeshi walisumbuliwa sana na Boko HARAMU Kwa Sababu walijichanganya kuwa jeshi linahitaji wasomi Pekee. KUMBE wasomi hawapo tayari kufa na kuacha starehe zao za kimtandao .

Wasomi na Wanasiasa wasipodhibitiwa wanageuka kuwa wezi na waiga dili tu nawajanja Wajanja maana wengi ni marafiki waliosoma pamoja na kuishi pamoja.
Leo Kila Mahali ni makongamano tu na semina . Sasa hiyo hela ya semina Kwa nini isiende kwenye ahicho kinachojadiliwa moja Kwa Moja.
Watu hawataki Katiba mpya Lakini Mapesa lukuki yanakwenda kujadili eti iwepo Katiba mpya Lini ? Wanajua ni Lazima ije Sasa si Bora tu kusema pesa ziende kwenye Maendeleo basi na SIO kutumia pesa nyingi kuahirisha Jambo ambalo lingewezeka kuahirishwa Kwa tamko moja tu basi.

Ni Lazima watokee Viongozi wasio na masihara Wala mitandao na urafiki . Viongozi wasiovumilia uhalifu Hata kama ni Ndugu .

Tumuombe Mungu atuondolee viongozi wasio na maono mema Kwa Taifa hili.
Kwa kifupi hakukua na haja ya kupata uhuru, period.
 
Afrika ni bara lenye wasomi wengi wapumbavu sana .
Wasomi walevi TU wanaokesha kwenye mabaa .
Wasomi makahaba na Wazinzi wanapokutana kwenye semina na makongamano wanawaza ulevi na uzinzi.
Wasomi wanaowaza Madili na mbinu za kufuja fedha za umma.
Wasomi wasiowaza kuondoa matatizo yaliyoko kwenye jamii Bali kuyatumia kama Fursa ya Kupiga pesa za umma.

Hivi pale Ruvu ni sehemu kweli ya kukosa maji ya kuwapeleka wananchi maji.?Nini MAANA ya Teknolojia kama Bado tutatumia mbinu na mitambo Ile Ile ya mkoloni kuvuna Maji na kuyatibu Kisha kuwapelekea wananchi. Mitambo tangu enzi ya Mwalimu mpaka Leo kiwango ni kile kile.

Ukipitia Bagamoyo maji yanatokea Ruvu Kwa mamilioni ya Lita yanakwenda kumwagikia baharini halafu kilomita Kama 30 nyuma unaambiwa hakuna maji ya kupeleka kwenye mitambo.
Hayo maji mnayaacha yaende baharini kufanya Nini wakati Kuna ukame au mnaogopa bahati itakauka?

Hivi hata kuyazuia yote yaende kiwandani nayo ni mpaka aje mchina?
Ok ,basi wakabidhini wachina hiyo miradi ya maji na umeme kama Kuna tone la maji litapotea.

Hivi mnataka Mungu au mzungu aje Tena Afrika kuondoa changamoto zetu .?Miaka 60 ya uhuru Bado tuna viongozi wanaodanganywa wakadanganyika.

Ukifika kwenye Afya ni hivyo hivyo mamilioni ya dawa zinaishia kwenye magospitali na maduka binafsi ya dawa . Hospitalini hakuna lakini kila mwaka bajeti ya Afya inaongezeka. Inaongezeka kwenye nini wakati Matibabu Sasa yamekua ni biashara. ? Kwa Nini huduma ni duni sana Kwa umma lakini binafsi wezi wananufaika Kwa bajeti ya Kodi za wanyonge na rasilimali za umma?

Ukienda kwenye Shirika la nyumba na Wizara yake ni hovyo kabisa . Wananchi wanahaha na kuwa watumwa wa kupanga nyumba zisizo na ubora Wala miundo mbinu mizuri Kwa Kodi kubwa inayoongezeka bila udhibiti ! Kwa ujuha mkubwa wabunge na serikali wanawaza kuchukua Kodi Kwa wapangaji Tena badala ya kudhibiti soko holela la nyumba Kwa kujenga nyumba Kwa ajili ya watu wa Chini, SIO majumba ya Mawaziri,makatibu, wabunge , mabalozi, Wakurugenzi,majaji n.k. watu Wenye vipato vikubwa Lakini eti Mchechu ndio anakimbilia Tenda za serikali kujenga majumba ya Serikali . Kodi wanazochukukua Kwa wahindi Kule mijini zinaishia mifumoni Kwao. Watanzania Hawana nyumba za kupanga Kwa Bei nafuu lakini wahindi wanapanga Kwa Bei Sawa na Bure.

Wanasema Kila MTU apambane ajenge nyumba. Watu Wa ajabu sana. Watu mil. 61 na moja wakiachwa kujenga na Kila mmoja amiliki kijumba chake hiyo misitu itatoka wapi . Hiyo hifadhi itakua wapi? Open space zitakuwa wapi? Mashamba yatakua wapi? Kila Mahali patakua ni makazi. Dunia yenye Maendeleo ya uhakika ni Lazima pawe na makazi Bora . Ujenzi uwe planed Kwa kujenga maghorofa Ili makazi yasitanuke sana na kumaliza Matumizi mengine ya Ardhi.


Ukienda kwenye Elimu ni hivyo hivyo . Shule binafsi ni za wale wale na hazina chombo Cha kudhibiti na kuangalia huduma na ubora wake kulingana na ongezeko la ada na michango kila muhula.

Falme za Kiarabu ni watu kama sisi tofauti ni kuamua kwao kuwatumikia wananchi maskini.
Waarabu hao wanaotokana na Koo za kifalme wamejitolea kuondoa kabisa Changamoto zinazowagusa watu wa chini kwenye mahitaji ya msingi ya binadamu.

Serikali kazi yake ndio hiyo bila kuangalia Mambo ya kisiasa tuu na utawala tuu. Ndio maana ya Mungu kuumba watu na kuwapa akili na rasilimali za asili. Zitumike kuhakikisha watu wanapata chakula na maji, nguo na makazi Bora.

Hivi Kwa maisha ya Kitanzania Janyuali na Lizi one ni watu wanaowaza njaa ya kuwaibia au kuiba Mali za umma na kukwepa Kodi. ?
Hivi Hawana hata chembe ya huruma ya kuwaza kuondoa kabisa Changamoto zinazogusa Mahitaji ya msingi ya binadamu.?

Kila idara ni uovu mtupu. Serikali ipo imewaachia wezi wakwapue kila wanachokiona mbele ya kamba zao . Na wengine Sasa hawana hata kamba Wanakwenda kula kulingana na wanachokiona mbele yao.
Shame on you wasomi mlioumbuliwa na Wavuvi Darasa la Saba Kule Bukoba , kuwa uzalendo sio vyeti na majengo na viyoyozi na Magari makubwa ya anasa Bali ni Moyo na utayari Wa kuwapigania wananchi.
Hata Nigeria Kwa muda mrefu wanajeshi walisumbuliwa sana na Boko HARAMU Kwa Sababu walijichanganya kuwa jeshi linahitaji wasomi Pekee. KUMBE wasomi hawapo tayari kufa na kuacha starehe zao za kimtandao .

Wasomi na Wanasiasa wasipodhibitiwa wanageuka kuwa wezi na waiga dili tu nawajanja Wajanja maana wengi ni marafiki waliosoma pamoja na kuishi pamoja.
Leo Kila Mahali ni makongamano tu na semina . Sasa hiyo hela ya semina Kwa nini isiende kwenye ahicho kinachojadiliwa moja Kwa Moja.
Watu hawataki Katiba mpya Lakini Mapesa lukuki yanakwenda kujadili eti iwepo Katiba mpya Lini ? Wanajua ni Lazima ije Sasa si Bora tu kusema pesa ziende kwenye Maendeleo basi na SIO kutumia pesa nyingi kuahirisha Jambo ambalo lingewezeka kuahirishwa Kwa tamko moja tu basi.

Ni Lazima watokee Viongozi wasio na masihara Wala mitandao na urafiki . Viongozi wasiovumilia uhalifu Hata kama ni Ndugu .

Tumuombe Mungu atuondolee viongozi wasio na maono mema Kwa Taifa hili.
Nahisi kuna laana

Ova
 
Back
Top Bottom