Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kwani umesahau JPM ni mungu?Wakati wa JPM hatukusikia Mgao wa maji wala wa Umeme
Mpango mkakati wa kufufua IPTL na Symbion umeanzia mbali sana
We utakuwa Tahira, kuwa na mtoto Kama wewe ni hasara,Umenunua mchele wa vitumbua!
Yeah andaa pesa kabisa usije kuita watu wana roho mbaya January!Mmmh sikuwa najua hili😳.
Upo serious?
Maji yanahusiana vipi na Symbion,IPTL?Wakati wa JPM hatukusikia Mgao wa maji wala wa Umeme
Mpango mkakati wa kufufua IPTL na Symbion umeanzia mbali sana
Viroba kwenye maiti aliifata familia yako? Waliopitia hayo maseke seke ni sababu aidha walikuwa waalifu ama hawakutaka kutii mamlaka!Kwani umesahau JPM ni mungu?
Hata viroba vyenye maiti ndani hatuvioni siku hizi, wala wasiojurikana hatujui wamepotelea wapi.
Hahahaaaa.......mchele kilo 50 sh 60,000?We utakuwa Tahira, kuwa na mtoto Kama wewe ni hasara,
Ungekuwa mwanangu ningebadilishana na gunia la mpunga huku kyela
Wajenge mabwawa kwenye hiyo mitoDawasa imetangaza kuanza mgai wa maji jijini Dar es salaam kutokana na kupungua kwa maji katika vyanzo vyake.
Mtendaji mkuu wa Dawasa amesema mgao huo utakuwa unafanyika ndani ya saa 24 tu kwamba wananchi watapata maji kila siku lakini kwa saa chache siyo siku nzima kama ilivyo sasa.
Source: ITV habari
Kwenye Njaa na nzige em rudi tena kwenye kumbu kumbu zakoUnajua JPM tulikuwa tunamtukana sana hapa! Lakini nataka kuwaambia wakati wake hayakuwepo yafatayo
.hapakuwa na ukosefu wa mvua
.Njaa haikuwepo
.nzige haikuingia nchi kwetu na kuharibu mazao
Lakini hini ya huyu mama kuna Balaa linakuja hata maji,umeme na chakula itakuwa shida! Yaani ni mtu kaingia baada ya ushetani wa kumwomdoa JM.
Huyu Black belts ni mpuuzi tu, mimi namambia mchele umepanda bei yeye analeta habari za eti mchele umeshuka sana tangu SSH aingie madarakani.Hahahaaaa.......mchele kilo 50 sh 60,000?
Huo ni mchele wa wachoma vitumbua fullstop.
Sasa hivi ile nyumba nyeupe haikaliki wa kulalika, anatamani hata ihamie nyumbani kwake ila anaona haiwezekani kukwepa miaka yote, kajaribu matambiko kafeli,solution aliyoshauriwa kuhakikisha anatafuta visafari vya kila siku ndani ya miaka yote minne ili angalau awe ana-refresh.Unajua JPM tulikuwa tunamtukana sana hapa! Lakini nataka kuwaambia wakati wake hayakuwepo yafatayo
.hapakuwa na ukosefu wa mvua
.Njaa haikuwepo
.nzige haikuingia nchi kwetu na kuharibu mazao
Lakini hini ya huyu mama kuna Balaa linakuja hata maji,umeme na chakula itakuwa shida! Yaani ni mtu kaingia baada ya ushetani wa kumwomdoa JM.
Wazee wa kunata na biti naona kishajipa unabii,wanatambaa nayo hii.
Kuna watu wanapinga humu ila wakirudi kwenye maisha yao halisi ya kila siku mtaani kimoyomoyo wana mkumbuka Mwendazake.Tukimuongelea vizuri Magufuli tunaonekana wangese.
Wanajikana yaniKuna watu wanapinga humu ila wakirudi kwenye maisha yao halisi ya kila siku mtaani kimoyomoyo wana mkumbuka Mwendazake.
Wakati wa JPM hatukusikia Mgao wa maji wala wa Umeme
Mpango mkakati wa kufufua IPTL na Symbion umeanzia mbali sana
Tafadhali serikali, msitufikishe huko tena.Dawasa imetangaza kuanza mgai wa maji jijini Dar es salaam kutokana na kupungua kwa maji katika vyanzo vyake.
Mtendaji mkuu wa Dawasa amesema mgao huo utakuwa unafanyika ndani ya saa 24 tu kwamba wananchi watapata maji kila siku lakini kwa saa chache siyo siku nzima kama ilivyo sasa.
Chanzo: ITV habari
Yani jamaa wanakera hawa khaa! Mbona mimi na wewe hatujafa kama kweli Magu alikuwa anaua watu?Mume wa rafiki yangu aliuawa na wafanya biashara wenzie wakamtupa majini, sasa wenye akili ndogo waliwaza kauliwa na Magu, wakati kuna watu waliuawa kwa kudhulumiana, wengine ni mambo ya mapenzi, wengine majambazi yaliuawa na ndio maana ujambazi ulipungua sana. Huwezi ukawa raia mwema rais akuue bila sababu, hata Mungu hawezi kuruhusu
Tena miaka michache iliyopita nilipita njia ya kuelekea matombo kutokea mji wa morogoro ilikuwa na bwawa linajengwa ikasemekana ni ili kuhakikisha maji hayapungui mto ruvu. Ni kweli au bado halijakamilika. Wanaofahamu watujuze ni miaka zaidi ya 5 sasa au zaidi nilipoona ujenzi huo.Nimecheki mazeee mazima ya Dar yanafurahia eti swa tabia ya inchi kweli kinachoniuma mie miaka 60 ya uhuru kweli magao wa maji hapna samia fukuza mbuzi hao wanakuharibia bi mkubwa Aweso Hatoshi halafu maziwa mito bahari tumezungukwa na kila kitu halafu jiji mashuhuri kama Dar ? Kweli
Unafiki nilikuwa naujua kumbe kidogo, hiki kipindi nimeona ajabu nyingi na viwango vya unafiki, first classKwenye kazuri hawasemi kuwa kuna watu nyuma yake waliopanga kuyafanya hayo.
Nafikiri wanafanya hivyo ili kujipendekeza,tena sikuizi huku Jf ndo wamejaa.
Usisahau wamama wajawazito sasa hivi wanajifungua kwa pesa hosptali za serikali.Usisahau na ada mashuleni zimerejeshwa