Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wapinzani walituchelewesha sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaandike twita pia.Nenda twitter
Leo nimepita maeneo mengi maeneo ya Manispaa ya Temeke na Ilala kiukweli huko tatizo la maji halipo maana watu wenye visima binafsi ni wengi na wamechukua nafasi ya DAWASCO maana hawaonekani kuwaza maji kabisa.Habari wanabodi, kama Kuna mtu anamfaham Meneja wa DAWASCO Kimara, tafadhali amjulishe kuwa afungue maji mchana huu kwani Hali huku mtaani ni Mbaya Sana. Siku ya 4 leo inaenda maji hakuna, na hata watu wanaouza toka kwenye matanki yao wameishiwa maji, hivyo, Hali sio ya mchezo kabisa.
Kuna Ndugu yangu anaishi hapa Nyuma ya Ukuta Wa Dawasco Kimara, anasema yaani Mtaa Mzima hakuna mwenye akiba ya Maji ndani. Watu wameshindwa kufua wikend hii kisa hakuna maji.
Kama huu ni uzembe wa Mtu fulani nashauri Waziri wa Maji amtumbue mapema Ili wezembe wengine wajifunze pia. Hali zipoje maeneo mengine Dar leo kuhusu maji.
Huku madongo poromoka mdogo wangu
Ebu usinichekeshe maji safi na salama wameshindwa kusambazaKama maji shida hivyo... Je wataweza kusambaza gesi kwa nyumba za dar...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hakuna direction huku...pambana tu hukohuko🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣direction please!