ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Old is Gold🤸Eti nalipa 😅🙌
Hujaniona live tu, nina Mvi kama zote plus kutembelea Mkongojo 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Old is Gold🤸Eti nalipa 😅🙌
Hujaniona live tu, nina Mvi kama zote plus kutembelea Mkongojo 😜
Hayo masharti kama unaenda kiringeniUmeona unisisitizie hapo location kule kwenye Fuvu la Mkwavinyika Mkwawa au Kaburi la Baba wa Mkwawa lipo lile ambalo ukienda eneo la Kaburi hauruhusiwi kuingia na viatu viatu unavua mbali sana mule unaingia peku
Wachaaaaa😁😁Njoo unione mimi.Ni mbuga tosha mkuu.
Hauruhusiwi kuingia na viatu kabisaHayo masharti kama unaenda kiringeni
Mkuu usisahau pia namba zipo juu uko usipite pekupekuNi mkoa mzuri wenye views nzuri kuliko mikoa mingi Tanzania, kuna fursa kibao huku...yani ni utajiri tupu
Nimewahi kuona kwenye TVWe ushawahi kufika?
Sasa hutaki kufurahi?Wachaaaaa😁😁
🤸Kumbe we ni kama mimi unaona tu kwenye TvNimewahi kuona kwenye TV
Kwamba?Ataungua mavooz au ataondoka na ukondefu?Huogopi kuto..mba Iringa? Ni hatari sana
Huko sikuwahi kufika🤸Kumbe we ni kama mimi unaona tu kwenye Tv
Piga usiogope lakini kinga au vilainishi ni muhimu sanaIringa haifai kula demu ni hatari kwa afya