sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Msanii wa Bongo Records aitwae Daz Baba ambae alitoa nyimbo kali kama Nipe tano, umbo namba 8, wife nk.
Alituletea album classic ya Elimu Dunia kinachosikitisha ni kwamba hajawai kufaidika na mauzo ya album yake hela za mauzo anachukua P Funk Majani ambae alitengeneza mikataba ya ujanja ujanja hivyo maisha yote atakuwa anamiliki kazi za Daz Baba.
Pamoja na ngumi pamoja na mitama mliyokuwa mnapigwa ila hela anachukua Majani mpaka leo na milele.
Tuendelee kumuombea Daz Baba malipo yake Mungu ataingilia kati siku moja.