Crucified
JF-Expert Member
- Aug 9, 2024
- 327
- 327
P funk anafaidika nini na muziki wa Daz wakati Soko la kuuza Kanda halipo Tena?? Sidhani kama Majani alikuwa na roho ya korosho ...ingekuwa hivyo angekuwa tajiri mkubwa sanaView attachment 2296603
Daz ukimwambia pigania haki yako kwa nini unakubali kudhalilika wakati anaekula hela zako yupo anadanganya tu watu anapigania haki za wasanii kumbe anawanyonya mpaka leo....Daz anakwambia "rasta namwachia tu Mungu"