Daz Baba haki yako iliyodhulumiwa na Bongo Records italipwa hapa hapa duniani

Daz Baba haki yako iliyodhulumiwa na Bongo Records italipwa hapa hapa duniani

View attachment 2296603

Daz ukimwambia pigania haki yako kwa nini unakubali kudhalilika wakati anaekula hela zako yupo anadanganya tu watu anapigania haki za wasanii kumbe anawanyonya mpaka leo....Daz anakwambia "rasta namwachia tu Mungu"
P funk anafaidika nini na muziki wa Daz wakati Soko la kuuza Kanda halipo Tena?? Sidhani kama Majani alikuwa na roho ya korosho ...ingekuwa hivyo angekuwa tajiri mkubwa sana
 
Back
Top Bottom