Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Anatakatisha pesa zake huwajui mawakili wa Arusha wana utajiri ambao huwezi kuutolea maelezo.Hata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
Msando ni Billionaire, anatakatisha pesa hapo.Utumishi wa umma una taratibu kuhusu mikopo kwa watumishi
Your net salary must be equal or greater than 1/3 of your gross salary...
Ajaribu tena huo uongo
Mimi bado sijaelewa namna miji inaendeshwa na hasa hili la wamachinga. Sasa, tatizo la wamachinga ni kuwa na eneo maalumu la kufanyia biashara? Mbona tumeona mifano kadhaa, wanajengewa na wanalitosa eneo? Baada ya hilo jengo la Msando kukamilika, atahakikishaje wamachinga wataondoka stendi hiyo ya Msamvu?Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Kupata hizo hela ambazo ni kidogo sana ni aspect moja, kufikia lengo ni aspect nyingine.
Wewe acha kupiga ramli chonganishiBila ku disclose loan agreement yake ni porojo tu za wanasiasa.
Kuna nini huko
Simple calculation.ni UWONGO mkopaji lazima abakiwe na 1/3 ya mshahara wake 1/3 ya 3.1m ni 1m yeye anasema nanakwatwa 2.8 take home ni 300k wakati take home inatakiwa 1/3 ya mshahara wake 1m
Yalishaisha....Kila mtu ana huo ujuzi ila wa kushika lichupi tofauti ni kwamba yeye alishika la Gigi Money wakati wewe unashika la chausiku
Halafu haya mambo si yalishapita swahiba!? Acha kazi iendelee
Huyo jamaa anatakatisha pesa zake, wengi hamjaelewa kitu bado.nyie mnaamini hayo mauongo?
Yalishaisha....
Sema tu lile chupia Gigi Money lilitisha.... sijui alilishonea wapi wallah
Hawezi sema mshahara wa DC kwenye kadamnasi.Ni UWONGO mkopaji lazima abakiwe na 1/3 ya mshahara wake 1/3 ya 3.1m ni 1m yeye anasema nanakwatwa 2.8 take home ni 300k wakati take home inatakiwa 1/3 ya mshahara wake 1m
labda kama wamekutoa sehemu ulikua unalipwa 4.5m hawezi kukushusha ila kada tu wa ccm kawaida 3m inakuhusuHawezi sema mshahara wa DC kwenye kadamnasi.
Yeye ametaja kiasi anachochukuwa baada ya kukatwa kodi.
Chunguza vizuri ujue DC anachukua kiasi gani ndiyo uje hapa. Wapo above 4.5M kwa mwezi
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Alikopa mbususu huko nako?Hivi akifukuzwa kazi nani atalipa ? Msando unaleta utapeli huku una kashfa ya Giggy Money unatutakia nini lakini ?