DC aliyetumbuliwa atoa waraka mzito kwa Naibu Waziri mpya wa TAMISEMI

DC aliyetumbuliwa atoa waraka mzito kwa Naibu Waziri mpya wa TAMISEMI

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.

Na basillamwanukuzi

Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa

Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE​


HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua

Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .

Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.​

Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.​

Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI

#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu

Edited · 3d
See translation
 
Huyu nae ni kinyaa ndo maana mama alimtumbua


basillamwanukuzi

Muendelezo ...

Wale watumishi walioisababishia serikali hasara ya mamilioni kwa ajili ya ubadhirifu na ambao chini ya uongozi wangu tulichukua hatua kwa muujibu wa sheria ni miongoni mwa mambo ya gharama ile inliyoizungumzia . Kama Nchi TUNAKWENDA WAPI????
hivi tunasaidia nchi kweli??? Tunamsaidia Rais kweli???

Wanaosimamia haki wanakua sumu
Ni haki mwizi wa kuku kua jela alafu wanaoiba mamilioni ya Serikali kulindwa na wanaochukua hatua dhidi yao kushughulikiwa TAMISEMII mnawarudisha wafanyakazi hao kazini baada ya mimi kuondoka? Kwa mazingira ya 'PLEA BURGAINING ' kwamba watakua wanarudisha fedha kidogo kidogo.

Mnaopewa dhamana simamieni haki, wekeni maslahi ya Taifa mbele msaidieni Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan wasaidieni wananchi

Jengo la UTAWALA , Hospitali ya Wilaya MAKUYUNI
HALI MBAYAAAAAAAA dhulma kwa wananchi mradi wa thamani zaidi 2b ambazo serikali kuu imeleta kwa wananchi wapate huduma umechezewa na hadi sasa haujaisha

TUNAKWENDA WAPI??????? 🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI​

 
Apunguze UMBEA.

Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k

Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil

Kwanini asiibe.

Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.

BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.

#YNWA
 
Apunguze UMBEA.

Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k

Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil

Kwanini asiibe.

Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.

BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.

#YNWA
Duh mnaonekana mmekata tamaa na maisha, yaani unaona sawa kabisa viongozi wa umma kuiba kwa sababu mishahara yao ni midogo?? hamsaidiki nyie hope hamko wengi
 
Duh mnaonekana mmekata tamaa na maisha, yaani unaona sawa kabisa viongozi wa umma kuiba kwa sababu mishahara yao ni midogo?? hamsaidiki nyie hope hamko wengi
Watanzania wanapenda mizaha sana, Mtu alikuwa DC anajua uchafu wote unaofanyika kwenye halmashauri badala tuungane kupinga uozo huo tunamlaumu tena aliyetufumbua macho.. ukumbuke hilo eneo la Korogwe lina wabunge 2 lakini hujawahi kuwasikia wakipaza sauti juu ya matatizo hayo hadi akabaki DC peke yake na RC Mgumba ambao wote wametumbuliwa
 
Watanzania wanapenda mizaha sana, Mtu alikuwa DC anajua uchafu wote unaofanyika kwenye halmashauri badala tuungane kupinga uozo huo tunamlaumu tena aliyetufumbua macho.. ukumbuke hilo eneo la Korogwe lina wabunge 2 lakini hujawahi kuwasikia wakipaza sauti juu ya matatizo hayo hadi akabaki DC peke yake na RC Mgumba ambao wote wametumbuliwa
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!
 
Apunguze UMBEA.

Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k

Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil

Kwanini asiibe.

Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.

BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.

#YNWA
Hii nchi sasa naona bora tusubiri mwisho wa dunia ufike tujiondokee tu.

Tumechokaa..
 
Duh mnaonekana mmekata tamaa na maisha, yaani unaona sawa kabisa viongozi wa umma kuiba kwa sababu mishahara yao ni midogo?? hamsaidiki nyie hope hamko wengi
Yaani Tz kaazi kweli kweli, wanashabikia wanaoiba pesa halmashauri, Kodi za wanancgi, kwa kisingizio cha mishahara midogo! Sasa kama mishahara midogo kwenye halmashauri, mbona graduates wapo wengi wamejaa mtaani ambao hawana kazi, na ambao hata wako tayari kufanya hizo kazi, kwa mishahara midogo zaidi ya hiyo badala ya kuendelea kuendekeza hai wezi serikalini.... Aiseee ni kaazi kweli kweli.
 

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.

Na basillamwanukuzi

Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa

Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE​


HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua

Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .

Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.​

Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.​

Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

TUNAKWENDA WAPI???[emoji1241]
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI

#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu

Edited · 3d
See translation
CHADEMA NDIO kimbilio mpo wapi kwenye hili nalo mkaliangalie mlitolee majawabu.
 


basillamwanukuzi

Muendelezo ...

Wale watumishi walioisababishia serikali hasara ya mamilioni kwa ajili ya ubadhirifu na ambao chini ya uongozi wangu tulichukua hatua kwa muujibu wa sheria ni miongoni mwa mambo ya gharama ile inliyoizungumzia . Kama Nchi TUNAKWENDA WAPI????
hivi tunasaidia nchi kweli??? Tunamsaidia Rais kweli???

Wanaosimamia haki wanakua sumu
Ni haki mwizi wa kuku kua jela alafu wanaoiba mamilioni ya Serikali kulindwa na wanaochukua hatua dhidi yao kushughulikiwa TAMISEMII mnawarudisha wafanyakazi hao kazini baada ya mimi kuondoka? Kwa mazingira ya 'PLEA BURGAINING ' kwamba watakua wanarudisha fedha kidogo kidogo.

Mnaopewa dhamana simamieni haki, wekeni maslahi ya Taifa mbele msaidieni Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan wasaidieni wananchi

Jengo la UTAWALA , Hospitali ya Wilaya MAKUYUNI
HALI MBAYAAAAAAAA dhulma kwa wananchi mradi wa thamani zaidi 2b ambazo serikali kuu imeleta kwa wananchi wapate huduma umechezewa na hadi sasa haujaisha

TUNAKWENDA WAPI??????? [emoji1241]
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI​

Huyu ana Kisokolokwinyo na watendaji wa Halmashauri walio muharibia.
Mengine ni mbwembwe tu!
 

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.​

Na basillamwanukuzi

Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa​

Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE​

HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua​

Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .​

Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.​

Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.​

Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.​

TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿​

HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI​

#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu

Edited · 3d
See translation
Nampongeza sana huyu Binti ni uzalendo kusema hayo, Nia njema anayo na ni wajibu wake kama raia na ni haki yake kufichua kasoro na maovu na kuomba mamlaka ifanyie kazi. Hongera kwake
 

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.​

Na basillamwanukuzi

Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa​

Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE​

HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua​

Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .​

Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.​

Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.​

Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.​

TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿​

HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI​

#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu

Edited · 3d
See translation

Pumbavu
 
Back
Top Bottom