DC aliyetumbuliwa atoa waraka mzito kwa Naibu Waziri mpya wa TAMISEMI

DC aliyetumbuliwa atoa waraka mzito kwa Naibu Waziri mpya wa TAMISEMI

Unaiaibisha Liverpool kwa mawazo fyongo kama haya.
Unawezaje kuona kuwa kuiba ni haki ya mtumishi?
Kama huwezi kufanya kazi bila kuiba ni afadhali uache kazi uende huko mtaani ukaibe vizuri.
Eti tena unamalizia na 'YNWA', umeniudhi kweli, ingekuwa ni zile enzi zetu ningekutukana vibaya sana. Huwezi kui-identify Liverpool fc, timu bora zaidi kuwahi kutokea England, na mawazo ya ujizi. Koma kavisa.
Tena ubadili na hiyo ID yako!

We genius..

Hilo la mshahara umeliona??

#YNWA
 
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!

Wewe dada mbona unanishutumu hivi??

Lini nimesupport ushoga Mimi??

Nani kakwambia usipooa ndio unakuwa shoga?

Kwanini wakubali Ndoa huwa hamna point zaidi ya matusi?

Na kwanini wenye ndoa zenu huwa mnaongelea sanaa ushoga?

Hivi we hujawahi ona mke wa mtu ni msagaji na mume wa mtu ni shoga?

Mbona huko kwenye ndoa wamejaa kibao?

NAOMBA UFUTE HII KAULI YAKO YA KWAMBA MIMI NA-SUPPORT USHOGA.

Mi mwanamke mwenye watoto wawili NAOMBA TUHESHIMIAME TAFADHALI.

#YNWA
 
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!

.... Halafu akili unazipimake humu?
Ukute wewe ndio mke mpumbavuuu kuliko wotee walioa na ndoa DUNIANI.

Shoga ni wewe na kizazi chako.

Hebu ACHANA NA MIMI.

#YNWA
 
Yaani Tz kaazi kweli kweli, wanashabikia wanaoiba pesa halmashauri, Kodi za wanancgi, kwa kisingizio cha mishahara midogo! Sasa kama mishahara midogo kwenye halmashauri, mbona graduates wapo wengi wamejaa mtaani ambao hawana kazi, na ambao hata wako tayari kufanya hizo kazi, kwa mishahara midogo zaidi ya hiyo badala ya kuendelea kuendekeza hai wezi serikalini.... Aiseee ni kaazi kweli kweli.

Boss mbona huna hoja babu?

Yaani kwasababu yupo asiye na ajira mtaani, basi Mimi nikubalie kulipwa mshahara mdogo.

Hebu tuongee kwahoja.

#YNWA
 
Waachieni watu wengine waadilifu wafanye izo kazi mnazodai mishahara ni midogo

Sio kwamba mishahara iongezeke.

Kuna haja gani ya kumlipa mwalimu mwenye bachelor halmashauri 745k na mwalimu mwenye bachelor UD Mil 1.8

Mi nadhani ungeanza na serikali kuisii iwe na msawazo wa mishahara.

Kwamba "Under one government WE ARE EQUAL"

#YNWA
 
Apunguze UMBEA.

Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k

Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil

Kwanini asiibe.

Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.

BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.

#YNWA
Aliyeomba ajira ni yeye hata kama ni tsh 100k. Wafungwe. Na kufilisiwa
 
Wewe dada mbona unanishutumu hivi??

Lini nimesupport ushoga Mimi??

Nani kakwambia usipooa ndio unakuwa shoga?

Kwanini wakubali Ndoa huwa hamna point zaidi ya matusi?

Na kwanini wenye ndoa zenu huwa mnaongelea sanaa ushoga?

Hivi we hujawahi ona mke wa mtu ni msagaji na mume wa mtu ni shoga?

Mbona huko kwenye ndoa wamejaa kibao?

NAOMBA UFUTE HII KAULI YAKO YA KWAMBA MIMI NA-SUPPORT USHOGA.

Mi mwanamke mwenye watoto wawili NAOMBA TUHESHIMIAME TAFADHALI.

#YNWA
Hata mashoga wana watoti, kauli sifuti
 
.... Halafu akili unazipimake humu?
Ukute wewe ndio mke mpumbavuuu kuliko wotee walioa na ndoa DUNIANI.

Shoga ni wewe na kizazi chako.

Hebu ACHANA NA MIMI.

#YNWA
Shouger angalia wanao usiwaambukize hiyo laana
 

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.

Na basillamwanukuzi

Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa

Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE​


HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua

Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .

Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.​

Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.​

Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI

#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu

Edited · 3d
See translation
 

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.

Na basillamwanukuzi

Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa

Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE​


HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua

Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .

Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.​

Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.​

Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.

TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI

#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu

Edited · 3d
See translation
Mtanikumbuka
 
Sijui kwanini wabongo wengi wakisha pata nafasi wanacho angalia ni maslahi Yao binafsi, Sasa tukipata nafasi kufanya kazi na watu wa nchi zingne huwa inakuwa shda kweli kweli😄😄
MALI ZA WIZI HAZINA BARAKA.
 
Sometimes kuteuliwa kuwa DC hizi tuezi teuzi zinamtoa mtu kwenye right track ya life system yake na mambo yake, kwanza zina mexpose na kama ni ajira binafsi ama mfanyabiashara anakua comprised akiwa madarakani ama hata akitemwa. Unabaki kutegemea na kuvizia tenda za halmashauri na serikali ambazo pia a moment huna madaraka wanakutema kama big g
 
Back
Top Bottom