Atoe ujinga wake kipindi yy ni dc mbona halikuwa apayuki hivyo..
Mganga njaa huyo.
Kwa mfumo wa Tanzania, watu muhimu wa kufanya nao kazi zetu za kupambana na serikali ni wale walio nje ya system!
Na huyu ni mtu muhimu
Hawa Wana umuhimu wao mkubwa wa kutufumbua macho, na si watu wa kuwabeza!
Watu tunaowasifu kwa ukosoaji wa Serikali kwa data hai, ni kwasababu ya msaada wa watu Kama hawa!
Kwa Hali zetu za kimaisha Watanzania, Ni vigumu kuiwajibisha serikali ukiwa serikalini
Ukiona mtu anamshangaa mtu kuwasema watendaji wa Serikali akiwa nje ya system, eti kwa Nini asiseme akiwa ndani, huyo ni mjinga wa mawazo! Yaani anashindwa kujua kuwa Tanzania imewafunga watumishi wake kuongea kinyume na matakwa ya Serikali, hio haiwezekani!
Kama wewe mtumishi Basi jaribu kuongea hayo yanayojiri kwenye ofisi yako!
Anayeweza kuisema serikali yake Ni Raisi peke yake!
Hata shujaa JPM hakuisema serikali akiwa waziri!
Tusiwapuuze wanaoamua kuisema serikali wakitoka nje
Bila hao tutaendelea kuwa mazuzu wa kutojua yaliyopo ndani ya serikali
Raia tuna haki ya kujua serikali inafanya Nini kizuri na Nini kibaya
Mfumo unataka yatajwe mazuri tu!
Je, tutayajua vipi Yale mabaya?
Ni mawazo yangu kuwa ingekuwa vizuri kuwa wote wanaoondoka serikalini wangetoa mrejesho wa jinsi Serikali inavyowajibika na isivyowajibika!
Raia tungezidi kuwa na upeo wa ufahamu kuhusu serikali yetu!
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app