Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.
Na basillamwanukuziHongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa
Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE
HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua
Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .
Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.
Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.
Edited · 3d
TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu
See translation
Huyu nae ni kinyaa ndo maana mama alimtumbua
Duh mnaonekana mmekata tamaa na maisha, yaani unaona sawa kabisa viongozi wa umma kuiba kwa sababu mishahara yao ni midogo?? hamsaidiki nyie hope hamko wengi
Kama mshahara hautoshi si mtafute shughuli nyingine ya kufanyaApunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Nampongeza sana huyu Binti ni uzalendo kusema hayo, Nia njema anayo na ni wajibu wake kama raia na ni haki yake kufichua kasoro na maovu na kuomba mamlaka ifanyie kazi. Hongera kwake
Tukitafuta Kazi nyengine huku Halmashauri atafanya nani Kazi?Kama mshahara hautoshi si mtafute shughuli nyingine ya kufanya
Waachieni watu wengine waadilifu wafanye izo kazi mnazodai mishahara ni midogoTukitafuta Kazi nyengine huku Halmashauri atafanya nani Kazi?
#YNWA
Kisa kusema ukweliHuyu nae ni kinyaa ndo maana mama alimtumbua
Ngozi nyeusi hata umlipe bln 2 atakwiba tu !Apunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Watanzania wanapenda uwiziWatanzania wanapenda mizaha sana, Mtu alikuwa DC anajua uchafu wote unaofanyika kwenye halmashauri badala tuungane kupinga uozo huo tunamlaumu tena aliyetufumbua macho.. ukumbuke hilo eneo la Korogwe lina wabunge 2 lakini hujawahi kuwasikia wakipaza sauti juu ya matatizo hayo hadi akabaki DC peke yake na RC Mgumba ambao wote wametumbuliwa
Wezi,mafisadi uraiani wanaonekanaYaani Tz kaazi kweli kweli, wanashabikia wanaoiba pesa halmashauri, Kodi za wanancgi, kwa kisingizio cha mishahara midogo! Sasa kama mishahara midogo kwenye halmashauri, mbona graduates wapo wengi wamejaa mtaani ambao hawana kazi, na ambao hata wako tayari kufanya hizo kazi, kwa mishahara midogo zaidi ya hiyo badala ya kuendelea kuendekeza hai wezi serikalini.... Aiseee ni kaazi kweli kweli.
Atoe ujinga wake kipindi yy ni dc mbona halikuwa apayuki hivyo..Watanzania wanapenda mizaha sana, Mtu alikuwa DC anajua uchafu wote unaofanyika kwenye halmashauri badala tuungane kupinga uozo huo tunamlaumu tena aliyetufumbua macho.. ukumbuke hilo eneo la Korogwe lina wabunge 2 lakini hujawahi kuwasikia wakipaza sauti juu ya matatizo hayo hadi akabaki DC peke yake na RC Mgumba ambao wote wametumbuliwa
Wewe mpuuzi mkubwa. Wewe unachojua na kilicho akilini na moyoni mwako ni wizi tuHivi hataki kukubali kuwa uteuzi wake ulitenguliwa? alifanya nini akiwa kama DC pale Korongwe? aache na wenzake wale
Pambana na hali yako basila mwakunukaKinyaa ni wewe.
Angekuwa bora mazaake asingemtemaAnaboa. Kujiona DC Bora kumbe boya.
Baada ya kutolewa ndo anasema ukweli, unafiki tu maumivu ya kupokonywa tonge mdomoniKisa kusema ukweli
We mpigaji nini huko ??
Ova