Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Unaiaibisha Liverpool kwa mawazo fyongo kama haya.
Unawezaje kuona kuwa kuiba ni haki ya mtumishi?
Kama huwezi kufanya kazi bila kuiba ni afadhali uache kazi uende huko mtaani ukaibe vizuri.
Eti tena unamalizia na 'YNWA', umeniudhi kweli, ingekuwa ni zile enzi zetu ningekutukana vibaya sana. Huwezi kui-identify Liverpool fc, timu bora zaidi kuwahi kutokea England, na mawazo ya ujizi. Koma kavisa.
Tena ubadili na hiyo ID yako!
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!
Yaani Tz kaazi kweli kweli, wanashabikia wanaoiba pesa halmashauri, Kodi za wanancgi, kwa kisingizio cha mishahara midogo! Sasa kama mishahara midogo kwenye halmashauri, mbona graduates wapo wengi wamejaa mtaani ambao hawana kazi, na ambao hata wako tayari kufanya hizo kazi, kwa mishahara midogo zaidi ya hiyo badala ya kuendelea kuendekeza hai wezi serikalini.... Aiseee ni kaazi kweli kweli.
Kama mshahara hautoshi si mtafute shughuli nyingine ya kufanya
Waachieni watu wengine waadilifu wafanye izo kazi mnazodai mishahara ni midogo
Ngozi nyeusi hata umlipe bln 2 atakwiba tu !
Ova
Aliyeomba ajira ni yeye hata kama ni tsh 100k. Wafungwe. Na kufilisiwaApunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Hata mashoga wana watoti, kauli sifutiWewe dada mbona unanishutumu hivi??
Lini nimesupport ushoga Mimi??
Nani kakwambia usipooa ndio unakuwa shoga?
Kwanini wakubali Ndoa huwa hamna point zaidi ya matusi?
Na kwanini wenye ndoa zenu huwa mnaongelea sanaa ushoga?
Hivi we hujawahi ona mke wa mtu ni msagaji na mume wa mtu ni shoga?
Mbona huko kwenye ndoa wamejaa kibao?
NAOMBA UFUTE HII KAULI YAKO YA KWAMBA MIMI NA-SUPPORT USHOGA.
Mi mwanamke mwenye watoto wawili NAOMBA TUHESHIMIAME TAFADHALI.
#YNWA
Shouger angalia wanao usiwaambukize hiyo laana.... Halafu akili unazipimake humu?
Ukute wewe ndio mke mpumbavuuu kuliko wotee walioa na ndoa DUNIANI.
Shoga ni wewe na kizazi chako.
Hebu ACHANA NA MIMI.
#YNWA
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.
Na basillamwanukuziHongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa
Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE
HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua
Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .
Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.
Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.
Edited · 3d
TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu
See translation
MtanikumbukaAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.
Na basillamwanukuziHongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa
Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE
HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua
Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .
Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.
Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.
Edited · 3d
TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu
See translation
Shouger angalia wanao usiwaambukize hiyo laana
Hata mashoga wana watoti, kauli sifuti
Aliyeomba ajira ni yeye hata kama ni tsh 100k. Wafungwe. Na kufilisiwa
Mtaolewa na sendoff mtafanyiwaHee tatizo Kuna ban.
Nyie iteni jina lolote ila KUOA TUMEGOMA.
Mtukane, mkejeli, mdhihaki yaani lolote semeni ila HATUOI HATUOI.
#YNWA
Mke mwenzaaaKumbe nabishana na chizi..
🤣🤣🤣
#YNWA
alishawahi kusemaKwanini alikuwa hasemi haya wakati yupo Mzigoni?