DC aliyetumbuliwa atoa waraka mzito kwa Naibu Waziri mpya wa TAMISEMI


We genius..

Hilo la mshahara umeliona??

#YNWA
 
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!

Wewe dada mbona unanishutumu hivi??

Lini nimesupport ushoga Mimi??

Nani kakwambia usipooa ndio unakuwa shoga?

Kwanini wakubali Ndoa huwa hamna point zaidi ya matusi?

Na kwanini wenye ndoa zenu huwa mnaongelea sanaa ushoga?

Hivi we hujawahi ona mke wa mtu ni msagaji na mume wa mtu ni shoga?

Mbona huko kwenye ndoa wamejaa kibao?

NAOMBA UFUTE HII KAULI YAKO YA KWAMBA MIMI NA-SUPPORT USHOGA.

Mi mwanamke mwenye watoto wawili NAOMBA TUHESHIMIAME TAFADHALI.

#YNWA
 
Mkataa ndoa huyo anapinga kuishi na mwanamke ila kuishi na mwanaume mwenzie ni sahihi, unategemea awe na akili!

.... Halafu akili unazipimake humu?
Ukute wewe ndio mke mpumbavuuu kuliko wotee walioa na ndoa DUNIANI.

Shoga ni wewe na kizazi chako.

Hebu ACHANA NA MIMI.

#YNWA
 

Boss mbona huna hoja babu?

Yaani kwasababu yupo asiye na ajira mtaani, basi Mimi nikubalie kulipwa mshahara mdogo.

Hebu tuongee kwahoja.

#YNWA
 
Waachieni watu wengine waadilifu wafanye izo kazi mnazodai mishahara ni midogo

Sio kwamba mishahara iongezeke.

Kuna haja gani ya kumlipa mwalimu mwenye bachelor halmashauri 745k na mwalimu mwenye bachelor UD Mil 1.8

Mi nadhani ungeanza na serikali kuisii iwe na msawazo wa mishahara.

Kwamba "Under one government WE ARE EQUAL"

#YNWA
 
Aliyeomba ajira ni yeye hata kama ni tsh 100k. Wafungwe. Na kufilisiwa
 
Hata mashoga wana watoti, kauli sifuti
 
.... Halafu akili unazipimake humu?
Ukute wewe ndio mke mpumbavuuu kuliko wotee walioa na ndoa DUNIANI.

Shoga ni wewe na kizazi chako.

Hebu ACHANA NA MIMI.

#YNWA
Shouger angalia wanao usiwaambukize hiyo laana
 
 
Mtanikumbuka
 
Sijui kwanini wabongo wengi wakisha pata nafasi wanacho angalia ni maslahi Yao binafsi, Sasa tukipata nafasi kufanya kazi na watu wa nchi zingne huwa inakuwa shda kweli kweli😄😄
MALI ZA WIZI HAZINA BARAKA.
 
Sometimes kuteuliwa kuwa DC hizi tuezi teuzi zinamtoa mtu kwenye right track ya life system yake na mambo yake, kwanza zina mexpose na kama ni ajira binafsi ama mfanyabiashara anakua comprised akiwa madarakani ama hata akitemwa. Unabaki kutegemea na kuvizia tenda za halmashauri na serikali ambazo pia a moment huna madaraka wanakutema kama big g
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…