DC Arusha ambaye aliwahi kutoa 'Singo' ya kumsifia Magufuli kuwa ni jembe adai kuwa Magufuli alikuwa ni fisadi

Nchi hii ni sahihi tu walioimba navumilia shida
Vumilia shida
Yaan Rais wetu anawavumilia hawa jamaa
Yaan hawa ni vumilia shida navumilia tu
Ningekuwa Rais Samia ningewapiga chini viongozi wote wenye element za ccm
 
Ccm ni ukoo wa kambare, kila mtu ana mandevu, ni mwendo wa kujiropokea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao viongozi wa hiyo ccm wana upeo mkubwa kiasi hicho sasa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi iliwalazimu kukaa kimya au kusifia kwa sababu waliogopa kitachowakuta baada ya hapo kwani sote tunajua wale wachache waliothubutu kukosoa sera za marehemu nini kiliwapata.
 
Huyu kihongosi magufuli ndie aliyempa maisha baada ya kumfurahisha kwa kusema atamuua zito kesho akapewa u DC Arusha.

Yule jamaa bana ulikuwa ukimshambulia au kumuua mpinzani anakupandisha cheo, ama kuhakikisha unadumu kwenye nafasi yako. Wote waliomshambulia Lisu wanamaisha, hali kadhalika kwa waliomuua saa8, nk. Akina Kingai, Mambosasa nk wote uovu ndio umewanyanyua.
 
Nchi hii nimegundua haiendelei n awala haitokuja kuendelea sabab vijana wote wanakimbilia kwenye shugul zisizo za uzalishaj bali ni shiguli za matumizi na mipango mipango..management..

Sasa mna manage nin na hamzalish chochote..

Na ndio weng wamekua watafta nyadhifa kwa udi na uvumba..uchawa..etc..mipango mipango..yaan ni ujasiriamal mpya...kujipenyeza penyeza upate wadhifa na madaraka...kamwe tutazunguka humu humu

Na ndo wanaongoza kupiga vita vijana wachakarikaj na kuwaundia kesi za uhujumu uchumi...
 
CCM kwa miaka mingi imekuwa ikitoa viongozi wa aina ya huyu Bwana na ndiyo maana Tanzania miaka nenda haiendelei.Ni muda muafaka sasa CCM kukaa pembeni ili kupisha vyama vingine vya siasa ambavyo vina maono pamoja na nia ya dhati ya kulikomboa Taifa hili.
 
Wanakula mali ya haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…