Elections 2010 DC Igunga ni mkristo mkatoliki; Kwanini hajasema kitu?

habari hiyo imeandikwa na mwana jf mmoja....nami taarifa kama hizi huwa naziweka kwenye archive yangu.....
 
kama hii ni kweli basi,mahakama za kadhi zitahitaji tujipange.
 
mmesahau mara hii hizi siasa za kidemokrasia za tz?
1 mrema alipoingia upinzani aliibuka 'paulina' na kutumika kumchafua. alidai amezaa nae akatelekezwa blah blah
2 dr slaa nae kuingia urais akaibuka 'mume wa josephine', ambae baada ya dr kukosa urais nadhani nae akatuliza boli. pengine amepata mdada wa kumtuliza hadi 2015 incase dr akigombea tena ajitokeze kuulizia mkewe (kama talaka itakua officially haijatoka)
3 Fatuma Kimario, inawezekana yakawa yale yale..
ccm kwa kutumia watu ni kawaida. kama tu jaji mkuu ramadhani alinyang'anywa ulinzi siku moja baada ya kustaafu,seuze hawa
mama fatuma kimario, vuna kwa wakati. hakikisha unafaidika manake hii sinema ikiisha tiket inakua haina kazi tena,unahangaika na wallet yako
 
kuna picha za shamba lake liliko tegeta pampja nanyumba wanayjenga huko nimetumiwa hapa na mwanajf aliyefika eneo&nbsp; lao....<br><br>anafuga na NGURUWE WENGI TU KULE... soon ntaziupload
 
Hii wala haina tatizo.Chadema hakuna pa kutokea kuhusiana na uhasama baina yenu na waislamu.Fursa ya kuomba radhi kwa kumsikiliza yule mroho wa madaraka-Safari mumeshindwa kuitumia.
Bakwata tunaamini kama kweli Fatma si muislamu mwenzetu na sisi tulikuwa hatujui hilo,basi na wale waliomvua hijabu mama Fatuma hawakujuwa kwamba ni mkatoliki mwenzao,walidhani ni muislamu.Hivyo tatizo liko pale pale kwamba nia ya Chadema ilikuwa kudharau uislamu na kubeza alama zake.
Kuanzia sasa hatumzungumzii Fatuma bali tunazugumzia hijabu.
Kwa upande mwengine hiki kisa iwapo ni kweli kinaweza kikatoa ushahidi mzito juu ya kitu kinachoitwa mfumo kristo.
 
Kwa hili Bakwata wametudhalilisha. Naomba watuombe radhi.
 
sometimes unaweza ukajiuliza hawa viongoz wet wanajielewa kwel
 

@Ami, DC Fatma Kimario ulitaka aachwe aendelee na mipango ya wizi kwa sababu tu kavaa ushungi? Mama huyu ni mtuhumiwa wa wizi na nilifikiri kwa sasa angekuwa KEKO akisubiri tarehe yake Kisutu akajitee huko. Hizi porojo za ushungi na hijabu ni kupetezeana muda na ni dharau watanzania. Mwizi ni mwizi hata kama amevaa kanzu au kofia ya uaskofu. Igunga kuna matatizo lukuki, maji, barabara mbovu, umeme hakuna lakini wako wazee wanaoona kipaumbele ni ushungi kwa sababu tu wamepewa 'kalamu'. Kila jambo na wakati wake, ccm had thier moment and they blew it. Porojo za hawa semi-illiterate wanaojiitia viongozi wa dini na bastola za wakina Rage hazitazuia hasira walizo nazo watanzania. We want change- you better learn that, fast.
 
Ukimvua mwanamke hijabu umemdhalilisha na umeudhalilisha Uislam hata ikitokea sio Muislam kwa sababu umeivunjia heshima alama ya Uislam na faragha ya mwanamke. BAKWATA wametetea heshima ya Uislam mbele ya jamii, hata kama Kimario mmoja kumbe sio Muislam.
 
tulitegemea. kimario 98% ni wa kristo. Amevaa ijabu kama the way to mitigate risk.na imewek!huoni mashekhe walivokurupuka km wamekosa oxygen katika pango.
Si ajabu baada ya tafrani kiduchu..ilidondoka. Hii inaonesha kuwa haikufungwa kitaalam au kwa experience!
 
ati muislam anayetetewa na BAKWATA anafuga "kitimoto"! na bila shaka anatumia, no this can't be, haiwezekani, its impossible.
 

yap,exclusivelly found in islam...
 
tulitegemea. kimario 98% ni wa kristo. Amevaa ijabu kama the way to mitigate risk.na imewek!huoni mashekhe walivokurupuka km wamekosa oxygen katika pango.

Ile ilkuwa hiajb au mtandio wakuu?. Muangalieni alivyokuwa hovyohovyo, wala haendani na uislamu yule dada. Ndio maana Mtikila amekuwa akiwaita kuwa ni mago....r... ya wakubwa, nadhani ni kweli tupu.
 
Katika hili nitabaki kuwa Tomaso......


Ipo siku miti itaongea, wanyama watageuka kuwa mawe na kila kitu kitakuwa kichwa chini miguu juu!!
 
KHA hivi huyo mzee Joseph, yaani anamwacha baby wake huko igunga, Mbali hivyo? kwani hajui akina Mwigulu wako anga hizo, shuri lake na Msomali Ragge naskia nae kaingia Igunga.. Mzee wahi baby wako.. shauri lako.. vijana wale hawachagui nzee wala mbichi...
 
Hivi ni mkatoriki au Mkatoliki?? Uliyeleta hii taarifa rekebisha t.afadhali.
 

Waache paparaa na kushabikia mambo watamzika mtu kwa mjibu wa dini ya kiislamu kumbe ni mkristu kisa jina la mwanzo ni Futuma.
wataumbuka na itawaumbua
 
BAKWATA wamejidhihirisha ni wavivu wa kufikiri. Wamelalama eti uislam umeaibishwa kwa kuwa Fatuma Kimario kavuliwa kitambaa wakiamini ni Muislam. Jirani wa DC anayeishi naye mbezi kavujisha ukweli kuwa huyu mama ni mkristo kaolewa na bwana Joseph Kimario kwa ndoa ya kikatoliki tena mzee wake ni mzee wa kanisa la katoliki mbezi. Pia DC huyu na mumewe wana nyumba na shamba tegeta na ktk shamba hilo wanafuga nguruwe na mama huyu ni muuzaji maarufu wa hawa nguruwe hapo tegeta na ni mlaji mzuri tu wa hii kitu .
Hili ndo shamba la Nguruwe la DC wa Igunga lipo tegeta;
View attachment 37796
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…