Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ningefurahi sana kuona mkuu mheshimiwa wetu Pascal Mayalla akitia neno hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wa hovyo kwa watu hovyo ni mzuri kwa watu wemaUtawala huu wa hovyo sana!!
Heri ya kichaa kuliko mwiziVichaa ndio wanaokubalika awamu hii!!
Ameteuliwa na kichaaEeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!!
Una maana yule aliyeiba Trillion 1.5 kwenda kuwanunua wanasiasa wa upinzani, kumlipa aliyefanya jaribio la kumuua Tundu Lissu na kujenga uwanja wa ndege nyumbani kwake? Kilangila.Heri ya kichaa kuliko mwizi
Hilo ni swali ambalo hajapewa muda wa kujitetea, hi ni aina ya viongozi vichaa tulionaoKwa nini achelewe?
Tatizo ni cheo..Mkuu wa Wilaya ni bosi wa mkurugenzi.. Mkurigenzi inabidi awe mpole tuEeeehhhh... Jamani Jerry anakoelekea sio kabisa.. Eeeeeh..!!😡😡😡😳😳😳😳 Mh Rais wangu tengua huyu mtu, plz plz plz...!!! Yaani nasema kweli kabisa ingekuwa ni mm ananinyooshea kidole hivyo napiga ngumi hadi atakimbia atasahau kila kitu hapo..hatarudia tena kabisa..!!