msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,141
M
Magu alipewa jina na Makonda, baada ya Jerry kutumika kuichafua CDM sawasawa hiyo ndo fadhila!! Jerry's appointment was never on merit but foolishness! This is typical insanity
DC mpya wa Arumeru, Jerry leo ameonekana kwenye video fupi akimfokea mkurugenzi wa manispaa kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 tu, tukio hilo limetokea mbele ya RC ( Gambo ) na baadhi ya viongozi wa Arusha, huku Gambo akionesha dhahiri kutofurahiswa na tukio lile
Huu ndio mfano wa maudhui wa kale kawimbo kanakoitwa 'Madaraka ya Kukevya'
Magu alipewa jina na Makonda, baada ya Jerry kutumika kuichafua CDM sawasawa hiyo ndo fadhila!! Jerry's appointment was never on merit but foolishness! This is typical insanity